Hamisa Mobetto kufunguka Jumatatu na kueleza jinsi Diamond alivyo ahidi kumuoa

Hamisa Mobetto kufunguka Jumatatu na kueleza jinsi Diamond alivyo ahidi kumuoa

Kipi hasa cha maana alichokanusha?! Kwamba hana tatizo na Zari, au?!

Kuna vitu vingine unaweza kutumia common sense ukaamini alichosema muhusika na hata kama ni cha uongo hakiwezi kuwa mbali sana na ukweli.

Kwa mfano, Diamond anafahamika sana kwa kujua ku-care! Kwahiyo hata kama hakuwa akimpatia 70K daily, still I believe alikuwa anampatia kiasi.

Hata kama hakulipa 7M kwa ajili ya operation still I believe kuna kiasi alilipa!!

Kwamba child support analipa 200K ni jambo ambalo siwezi kuwa na shaka nalo hata kidogo kwa sababu hata sisi maskini hatuwezi kushindwa kutoa kiasi kama hicho in favor of child support!

Na inawezekana kabisa hata hiyo gari alimnunulia!!!

Lakini tukitumia utetezi wa Diamond kuhusu Zari! Swali je, unataka kusema kabla ya interview ile Zari alishamwaga manyanga rasmi? I don't think so!

Kama sio, kwanini Zari alitoka povu?!

Hapo ndipo unapokuja ku-make sense utetezi wa Diamond kwamba ingawaje alishaongea na Zari, lakini hakuwahi kumwambia gharama anazotoa kwa Hamisa!

Katika hali ya kawaida, hakuna mwanaume anayehudumia nje halafu akamwambia ukweli mwanamke wake wa ndani kwamba anatoa kiasi kadhaa wa kadhaa kwa mchepuko; HAKUNA!

Na kama hakuna, basi pia kuna kila dalilia gharama zile alizotaja Diamond bila kujali kama ni za kweli au si za kweli; kwa mara ya kwanza Zari ndo alizisikia pale!!!

Sasa katika mazingira kama hayo utashangaa Zari kuja juu?! Hivi hawa wanawake si huwa wanawafanya waume zao wawe wanatoa misaada kwa ndugu wa damu kwa kujificha kabisa! Na kama mwanaume mwenyewe hajiamini, anamwambia kabisa ndugu yake kwamba "hii pesa niliyokupa shemeji/wifi yako asijue!"

Sasa ikiwa kwa ndugu tu wanawake huwa na mtimanyongo; what anaposikia zinatoka za kutosha kwenda kwa mchepuko?!
Mimi nadhani tusubiri tumsikie mtuhumiwa akisema ya upande wake, siku zote msema pweke mshindi.

Mondi alisema amesha settle hiyo ishu na Zari na wapo cool, ila Zari si amekanusha.
 
Huyu mama bora tu abargain na boss waende sawa, kila kitu kiwe poa. Akitaka kumtoa nishai kutafuta sifa inaweza kula kwake maana kuwa vita na mtu unayetegemea akusaidie kiuchumi ili uonekane shujaa Instagram ni ulofa
 
Mwenye ako na CV ya Mobeto atupie tafadhal,

Huyo ni form four sijui division ngapi kapata alipomaliza akawa anapenda umodel huku pia ni video queen (ukiwa na duka la nguo mtafute)huku anadanga mjini kama kawaida akapata chance kwa majizo akafyatua katoto kazuri kakike sahv kapata kwa mondi kafyatua handsome boy
 
Pissing competition! Huyo Diamond wenu alifanikisha nini kwa kwenda kukiri hadharani kwamba mtoto wa Hamisa ni wake? Ukiwa na hela halafu huna akili bhana!
 
Screenshot_2017-09-21-21-15-53.png
 
Kwani ukiahidiwa ndoa lazima uolewe? Basi nafikiri mm ningeshaolewa kitambo sana.
 
Mwenye kujua Elimu ya Mobeto ,anisaidie !!!.


Its a shame Mdada kama huyu kutumia ahadi ya kuolewa kutafuta huruma ...


KWAN HUYU MTOTO ALOZAA NA DIAMOND NDIO WAKE WAKWANZA AU ????
Unless awe ameunga unga na vi-certificate vinavyopatikana kila kona ya Kariakoo lakini formal education aliishia kidato cha nne, Tandika!
 
Mimi nadhani tusubiri tumsikie mtuhumiwa akisema ya upande wake, siku zote msema pweke mshindi.

Mondi alisema amesha settle hiyo ishu na Zari na wapo cool, ila Zari si amekanusha.
Nakubaliana na wewe kwamba tusubiri upande wa pili wa shilingi! Hata hivyo, hoja yangu ni ile ile ya Diamond kwamba, hata kama walishakuwa cool, kwa gharama zile alizotaja Diamond bila kujali kwamba ni za kweli au si za kweli, hiyo cool na Zari lazima ingetoweka tu! Ni mwanamke gani anapenda kusikia bwana/mume anatoa mipesa hiyo kwa "hawara" yake wakati hawa wanawake hata wakiona mwanaume anatoa huduma kwa ndugu, bado kwao ni nongwa!!!
 
Back
Top Bottom