Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Demu Malaya huyu daah

Katoka kwa vunjabei kamtega fally Leo yuko na rozay hahaha

Hio mbususu yake itakuwa imachezea mikito kila wiki
Hainaga last seen eti.😂 Tumuacheni agawe, akifika menopause atatulia
 
Mimi nampa heko huyu binti. Siyo kila siku kulia na akina Harmonize au Diamond. Anaenda kutafuta huko na analeta kuwekeza hapa nchini. Tumuunge mkono na kumpa mbinu ili asiwe kama Wema
So analisaidia Taifa kupitia mbususu yake sio[emoji1787][emoji2]
 
Nimeshangazwa sana na media za Bongo kuripoti kwa bashasha mtu aliyeenda kufanya ufuska na wengine wakiona kama ni mafanikio kwake, Shenzi kabisa
Content za YouTube zinatafutwa hata Kama hazina kichwa Wala miguu
 
Kwani huyo Diamond ana kipi cha ziada ambacho wewe huna mapenzi yangekuwa pesa billigete asingeachwa nikwambie kuna Wanawake wanaopenda pesa kutoka kwa Wanaume, kuna Wanawake wanapenda kujaliwa kutoka kwa Mwanamke mfano kama Wewe unadhani uliyekuwa nae hatongozi na waliokuwa nacho kukuzidi Wewe why yuko nawe asikuache.
Acha utani diamond akipita hapo kitaa kwenu lazima mate yakutoke
 
Back
Top Bottom