Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kile kiuno alichokatikiwa club hii inaweza kuwa ya chumvi na ndimu.Eeh kwa ross hio hela ya mboga tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huo ndio ukweliMwanaume ukiwa nacho bana...huyo Jamaa angekuwa Kuli pale bandarini Hamisa angekuwa tu anamsoma mitandaoni kama mimi.
Leo ni Hamisa Day wengine kalisheni makalio.Milly aka mwamvua Leo utakunya bogaaa
Ulidanga dubai weeeee ukaambulia kutolewa mimba sasa Leo naona una uchungu na hamissa kweli...eti ooh anaaibisha nchi eti ooh atapigwa tukio kwani unamhurumia wewe mama yake? Chuki tu zimekujaa. Leo hii mwanamke gani wa tanzania apate japo seconds ya kusalimiwa na riki Ross atakataa??
Umeniblok kule ila salamu zako umezipata
Mkuu umeandika haraka haraka sana.Hili jambo kuna siku niliwawashkaji zangu tena tulioogeshwa namna hii.
Punguza hasira na mawazo[emoji2]Kwa hizi hasira za wanaume juu ya Hamisa, no wonder na wenyewe wanaamua kutoa ndogo, yaani nilidhani wanawake ndio wawe na wivu kwa mwanamke mwenzao ajabu ni wanaume ndio wanakua na wivu kwa mwanamke,
Lol
Maajabu hayawezi kuisha Tanzania yangu.
Mimi tena!!Punguza hasira na mawazo[emoji2]
Hizo ni defensive mechanismJamaa anawaonea wivu Sana wanawake, anatamani angekuwa mwanamke ili agongwe na diamond.
Mkuu nilitaka kumaanisha jambo moja kuna siku npo na wamba tunapata vyombo tunadiscuss maisha yalivyobadilika hiyo kauli yako ya kwamba tushukuru kuzaliwa na wa maza kale inamsingi mkuu sana yakutufanya hivi tulivyo kiiUTU..Mkuu umeandika haraka haraka sana.
😁😁😁😁MKUU YANAWEZA KUWA MATAPUTAPU ILA NI YALE OG TOKA AFRIKA
😁😁😁ingekua nayo ingekua balaaWakenya wanasema hainaga 'last seen'🤣
Najifariji nini?Hizo ni defensive mechanism
Naona mnajifariji[emoji1787]
😁😊😊😊Hii ndo maana halisi ya kuvutia wawekezaji Toka nje . Big up Hamisa kwa kumuunga mkono Mama Samia kwa vitendo..
Nice one....Some people wanapenda kuzalilisha wengine Ili kujipatia relief ya machungu moyoni na jf ni only place ya kusemea
😁😁😊😊😊Ila kuna watu yataka moyo hata kuwaangalia usoni. Kweli wanawake tumeumbwa na roho ya ujasiri
Ngoja waje watoe mwongozoKwa ubishi wa binadamu wa siku hizi...
Watakuja kusema hiyo ni adobe after effect...
Sasa kudanga na Rick Ross ni sawa na kudanga na Dr Kumbuka?Kwa dada zetu wadangaji kwa akili zao zilivyokwa ndogo hayo ni maendeleo kwao.