[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] missa ana balaaaKwa mara ya kwanza naona Wanaume wengi hapa JF wanatokwa povu kwa penzi la Misa kwa Richforever! Wanaanzisha kila aina ya Thread za kumponda Misa,mara kutafsiri mashairi yake Ross kisha wanayapa picha ya Hamisa,nilidhani ni Watandale tu Wamenyooshwa,kumbe ni wengi tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisaaa yaan.Tunachotafuta furaha wengine hawatupi furaha hizo
uchawi haufanyi kazi kwenye bangi 😁😁😁Mobeto ampige Libwata Ross ili awekeze bongo😁
Tunachotafuta furaha wengine hawatupi furaha hizo
Yes wanaume wangapi wa kukupa full package hata kwa siku moja tuKwanza kwa mwanaume kama Ross unapata full package,furaha na una secure [emoji383]
nani huyo ana kiss and tell?Wajinga hao na hawajielewi mtu timamu akitoka na mtu ana mute Sasa wao wanatafta taarifa na kuanza kusanua humu Ili iweje ifike mahali wapigwe life ban, shida wengi ushamba na stress za life. Kuna mmoja huja pm huku namchora alivo mzalilishaji namtamani siku nimfunge jela kabisa loh
Umetisha mzeeMobeto ampige Libwata Ross ili awekeze bongo😁
Dah umetisha zaidiuchawi haufanyi kazi kwenye bangi 😁😁😁
i will feed you my carrot kama rick ross alivyoimba na french montana.Kweli weekend hii Hamisa amewapiga wengi na kitu kizito vichwani kwao. Huyu aliyeleta hii thread nae anaitwa mwanaume eti.
Labda walitumia ndomsHuyu fala hamisa kama ameenda huko siku ambazo sio za kushika mimba bas hii nafasi ataijutia sana.
Bora kufa kwa maji ya victoria kuliko ndoo moja ya maji
Hili swala limewauma sana wanaume wa bongo mana design kama limewadharaulisha na wanawake wa bongo kwa kufata mkumbo wataanza kuwakataa[emoji23]
Haki nmecheka [emoji2]na kweli wanaamaini Diamond ni ndoto ya kila mwanamke wa bongo kumbe wala sasa akizidiwa wanaumiamsiseme wanaume wa bongo,semeni wavulana mashabiki wa wcb[emoji16][emoji16]
tuheshimu matabaka jamani.
wao wanaamini hakuna mwanaume kama diamond duniani.