Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Niliposikia tu hata rais katajwa nikajua huyu demu hajielewi yaani kwenye starehe zao walimkumbuka mama wa watu kweli au basi tu tuone katoka kufanya jambo kubwa inasikitisha mno
Kichwan hamna kitu

Sifuri kubwa 0
 
Hahaahaaaa watanzania kazi mnayo asee[emoji38][emoji38][emoji38]

Imagine Malaya anatangaza nchi kuwa invested na mlupo na rais anawekwa katikati ya mistari[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] noma sana
Hamisa amekosa shule kichwani hakukuwa na haja ya kusema sijui kuwekeza mara rais Samia na jinsi alivyokuwa anajibu pale alikuwa anaongea kwa kiwewe, Ni Kama ukutane na zigo la mapesa njiani hivyo ndivyo hali aliyonayo,, angetuliza kichwa hii ishu ingemtoa kimaisha,,

Tukimtazama historia yake nyuma katokea kwenye maisha duni tyliyonayo watz wengi,, kapata umaarufu kwa kutoka kimapenzi na watu maarufu na yaliyomtokea tunayajua, kwahiyo kufikia hatua leo anakutana na msanii mkubwa kutoka marekani sio ishu ndogo lazima apate muhaho,, ishu ya kutolipwa inawezekana ni kweli (ikiwa hivi ataijutia hii nafasi) ama sio kweli
 
Hahaahaaaa watanzania kazi mnayo asee[emoji38][emoji38][emoji38]

Imagine Malaya anatangaza nchi kuwa invested na mlupo na rais anawekwa katikati ya mistari[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] noma sana

Lakin si ni baloz wa belair alikutana na boss wake kikazi
 
Asee chuchunge ni lijinga asee... imagine linatangaza Bellaire wine for nothing

Halipwi chochote, na Kei katoa ili kuwaumiza Domo na break privce[emoji848]

Demu ovvyoo sana hili, utalalaje na manyama uzembe just for fame[emoji57]
eti wanajifanya wanafkuzia pesa, tamaa tuu, na kutafta sifa za kijinga kwamba nae analiwa na mmarekani maarufu, ndo akaona ajianike hivo. Huko ni kujishushia heshima na mtu wa hivi hawezi kuja kuolewa na mtu mwenye heshima zake,

hata wahuni hawatakagi kuoa wanawake wa hivi, matokeo yake ataishia kutapatapa na kudanga tuu na kama hana akili ya namna ya kutumia hizo pesa anazohongwa siku akizeeka kama wema, ataishia pabaya.
 
kwani hiyo NDINGA anayosukuma si ni ya mwanaume kama wewe. Mwanaume ni mwanaume tuu, hata wewe ukipambana utapata na zaidi ya hayo.

Mwanamke asiye na akili ziumiazo ni sehemu zake za siri. Na sio kila mwanamke anategemea kutumiwa au kuchezewa ndo aishi.

Licha ya ugumu wa maisha tambua kuwa kuna wanawake wanajiheshimu sana na maisha yanasonga mbele kama kawa.
wewe unatembea na wanawake wangapi??

Je unajiheshim?? Au huna akili ???.



Unataka Mobeto akae bila mwanaume??


Au alitakiwa awe na mwanaume wa Kibongo???


UNADHAN ,NINAN AMEMFIKISHA HAPA ??

JE MZAZI MWEZIE WAKWANZA ANGEMUOA?? LEO UNGEKUA NA CHAKUONGEA??

WAPILI,ANGEMUOA, UNGEONGEA???

AKINA FREDY ???


HAMISA NI MWANAMKE MZURI, ALIYEJIKUTA ANAKUA NA WANAUME WAKIBONGO AMBAO HAWAJATULIA!!


sasa Bidada wa watu kachoshwa na ngonjera za Wabongo, kavuka mipaka, mnaongea???


KWANN HAMHOJI, HARMONIZE KUSEMA, ANAOGOPA WANAWAKE WAKIBONGO , MPAKA KAAMUA KUJA NA WA NJE ???.



JE Harmonize naye anadanga??



SIKU MKIACHA UNAFIKI, MKAWA WENYE VIPATO,,,HAMTAKAA KUTUMIA MUDA, KUJADILI MBUSUSU YA HAMISSA.
 
Hamisa amekosa shule kichwani hakukuwa na haja ya kusema sijui kuwekeza mara rais Samia na jinsi alivyokuwa anajibu pale alikuwa anaongea kwa kiwewe, Ni Kama ukutane na zigo la mapesa njiani hivyo ndivyo hali aliyonayo,, angetuliza kichwa hii ishu ingemtoa kimaisha,,

Tukimtazama historia yake nyuma katokea kwenye maisha duni tyliyonayo watz wengi,, kapata umaarufu kwa kutoka kimapenzi na watu maarufu na yaliyomtokea tunayajua, kwahiyo kufikia hatua leo anakutana na msanii mkubwa kutoka marekani sio ishu ndogo lazima apate muhaho,, ishu ya kutolipwa inawezekana ni kweli (ikiwa hivi ataijutia hii nafasi) ama sio kweli
Bora we umeongea bonge la point[emoji1690][emoji1690]

Hana hata mia hapo alipo huwezi amini[emoji848]
 
eti wanajifanya wanafkuzia pesa, tamaa tuu, na kutafta sifa za kijinga kwamba nae analiwa na mmarekani maarufu, ndo akaona ajianike hivo. Huko ni kujishushia heshima na mtu wa hivi hawezi kuja kuolewa na mtu mwenye heshima zake,

hata wahuni hawatakagi kuoa wanawake wa hivi, matokeo yake ataishia kutapatapa na kudanga tuu na kama hana akili ya namna ya kutumia hizo pesa anazohongwa siku akizeeka kama wema, ataishia pabaya.
Imagine this[emoji1690][emoji848]
 
Back
Top Bottom