kwani hiyo NDINGA anayosukuma si ni ya mwanaume kama wewe. Mwanaume ni mwanaume tuu, hata wewe ukipambana utapata na zaidi ya hayo.
Mwanamke asiye na akili ziumiazo ni sehemu zake za siri. Na sio kila mwanamke anategemea kutumiwa au kuchezewa ndo aishi.
Licha ya ugumu wa maisha tambua kuwa kuna wanawake wanajiheshimu sana na maisha yanasonga mbele kama kawa.
wewe unatembea na wanawake wangapi??
Je unajiheshim?? Au huna akili ???.
Unataka Mobeto akae bila mwanaume??
Au alitakiwa awe na mwanaume wa Kibongo???
UNADHAN ,NINAN AMEMFIKISHA HAPA ??
JE MZAZI MWEZIE WAKWANZA ANGEMUOA?? LEO UNGEKUA NA CHAKUONGEA??
WAPILI,ANGEMUOA, UNGEONGEA???
AKINA FREDY ???
HAMISA NI MWANAMKE MZURI, ALIYEJIKUTA ANAKUA NA WANAUME WAKIBONGO AMBAO HAWAJATULIA!!
sasa Bidada wa watu kachoshwa na ngonjera za Wabongo, kavuka mipaka, mnaongea???
KWANN HAMHOJI, HARMONIZE KUSEMA, ANAOGOPA WANAWAKE WAKIBONGO , MPAKA KAAMUA KUJA NA WA NJE ???.
JE Harmonize naye anadanga??
SIKU MKIACHA UNAFIKI, MKAWA WENYE VIPATO,,,HAMTAKAA KUTUMIA MUDA, KUJADILI MBUSUSU YA HAMISSA.