Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Mimi nakubaliana nawewe.


ndio maana hata wakat tunasoma ,unakuta demu anakuambia "Somaa "

Nakweli usiposoma, mnamaliza kidato cha NNE, baada ya miaka miwili, mwenzako anasukuma NDINGA.
kwani hiyo NDINGA anayosukuma si ni ya mwanaume kama wewe. Mwanaume ni mwanaume tuu, hata wewe ukipambana utapata na zaidi ya hayo.

Mwanamke asiye na akili ziumiazo ni sehemu zake za siri. Na sio kila mwanamke anategemea kutumiwa au kuchezewa ndo aishi.

Licha ya ugumu wa maisha tambua kuwa kuna wanawake wanajiheshimu sana na maisha yanasonga mbele kama kawa.
 
Asee Hamisa ni lijinga asee... imagine linatangaza Bellaire wine for nothing

Halipwi chochote, na Kei katoa ili kuwaumiza Domo na break privce[emoji848]

Demu ovvyoo sana hili, utalalaje na manyama uzembe just for fame[emoji57]
Wit jamani kwani halipwi?hajarudi na mkwanja?
 
Lakini huyu mchizi currently pics zake mbona ana mwili mzuri tu?

Marekani oparesheni ya kuondowa haya mafuta ni verry simple kwao.

Jamaa wala hayuko hivyo kwa sasa.
Vile unatetea umalaya kwa nguvu zote😁😁😁
Vi0.jpg
 
Mwanamke mda wowote wakati wowote game linachange.
Kabisa yani, maana kitu ambacho mwanaume anaweza kutumia maisha yake yote kukipata ama na asikipate, mwanamke bahati ikiwa upande wake anaweza kukipata kutokana na kei yake tu yani, k ambayo watu waliinanga na kuisonkola😅😅😅
 
Asee Hamisa ni lijinga asee... imagine linatangaza Bellaire wine for nothing

Halipwi chochote, na Kei katoa ili kuwaumiza Domo na break privce[emoji848]

Demu ovvyoo sana hili, utalalaje na manyama uzembe just for fame[emoji57]
Na wewe umejifunza lini roho mbaya?

Hivi unaweza kupandishwa ndege hapa mpaka Dubai then ukarudi Bongo mikono mitupu?

First thing unamjuwa Rick Ross au umekaririshwa?

20211128201819.jpg
 
Yani ulipiwe flight ticket go and return Dubai halafu usilipwe kitu.

Kweli adui ya mwanamke ni mwanamke.
Kaka amini hili huyu demu hajapewa hata mia mbovu

Mimi nasapoti sana wanawake wenzangu kama unanifatilia ila kwa huyu kazingua[emoji848]
 
Asee karudi bila bila hana hata mia mbovu[emoji848]

Demu jinga kabisa hili

Hii connection nimepewa na inside wa ukweli kabisa hapo kwao

Kama Taifa tunafurahia sana hamisa kuliwa na rick ross tena tunashangilia na baada ya kuliwa hamisa kasema jamaa atakuja kuwekeza tena kasema jamaa kamtaja hadi rais wetu hivo na rais ashangilie kutajwa na rick ross mambo haya ni magumu sana ndio naona nchi kukosa mastaa wa level za kidunia ni hatari sana.
 
Kama Taifa tunafurahia sana hamisa kuliwa na rick ross tena tunashangilia na baada ya kuliwa hamisa kasema jamaa atakuja kuwekeza tena kasema jamaa kamtaja hadi rais wetu hivo na rais ashangilie kutajwa na rick ross mambo haya ni magumu sana ndio naona nchi kukosa mastaa wa level za kidunia ni hatari sana.
Hahaahaaaa watanzania kazi mnayo asee[emoji38][emoji38][emoji38]

Imagine Malaya anatangaza nchi kuwa invested na mlupo na rais anawekwa katikati ya mistari[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] noma sana
 
Kaka amini hili huyu demu hajapewa hata mia mbovu

Mimi nasapoti sana wanawake wenzangu kama unanifatilia ila kwa huyu kazingua[emoji848]

Si anasema alifuata biashara zake au ni kosa? Lakini ametiheshimisha kama taifa wake kwa waume tunashangilia mafanikio ya hamisa kuliwa na mmarekani na vile kasema atakuja kuwekeza tanzania ndio basi tena tunasubiri madolari tu.
 
Hahaahaaaa watanzania kazi mnayo asee[emoji38][emoji38][emoji38]

Imagine Malaya anatangaza nchi kuwa invested na mlupo na rais anawekwa katikati ya mistari[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] noma sana

Ametuheshimisha sana hamisa, tena na rais wetu alitajwa na jamaa hii ni heshima kubwa sana tuzidi kushangilia tu
 
Si anasema alifuata biashara zake au ni kosa? Lakini ametiheshimisha kama taifa wake kwa waume tunashangilia mafanikio ya hamisa kuliwa na mmarekani na vile kasema atakuja kuwekeza tanzania ndio basi tena tunasubiri madolari tu.
Asee sawa mkuu[emoji848][emoji848]
 
Hahaahaaaa watanzania kazi mnayo asee[emoji38][emoji38][emoji38]

Imagine Malaya anatangaza nchi kuwa invested na mlupo na rais anawekwa katikati ya mistari[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787] noma sana

Niliposikia tu hata rais katajwa nikajua huyu demu hajielewi yaani kwenye starehe zao walimkumbuka mama wa watu kweli au basi tu tuone katoka kufanya jambo kubwa inasikitisha mno
 
Back
Top Bottom