Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Hamisa Mobetto kwenye penzi zito na Rick Ross, wapo Dubai wakila bata

Kasemwa Sana jamani, kama hili linampa furaha Basi ikawe heri kwake, aibu kwa waliomnyanyasa, ni kawaida hawawezi kufurahia hili, nimewahi kupitia hali hii ya watu kukunyanyasa sababu unapitia ugumu fulani, mambo yalipobadilika😂😂😂😂hebu nicheke mie, akomae na lwake binadamu tumejaa unafiki sana
 
Kwa mwanamke fursa ya Kwanza Ni maumbile yake huu ukweli watu wanaukwepa kwepa tu na kamwe usishindane na mwenye uke hasa jinsia pinzani utaumia
Mimi nakubaliana nawewe.


ndio maana hata wakat tunasoma ,unakuta demu anakuambia "Somaa "

Nakweli usiposoma, mnamaliza kidato cha NNE, baada ya miaka miwili, mwenzako anasukuma NDINGA.
 
Kwani huyo Diamond ana kipi cha ziada ambacho wewe huna mapenzi yangekuwa pesa billigete asingeachwa nikwambie kuna Wanawake wanaopenda pesa kutoka kwa Wanaume, kuna Wanawake wanapenda kujaliwa kutoka kwa Mwanamke mfano kama Wewe unadhani uliyekuwa nae hatongozi na waliokuwa nacho kukuzidi Wewe why yuko nawe asikuache.
wanawake wengi wa Tz wanatoka familia duni, alafu wanaongozwa kwa tamaa za vitu wasivyo na uwezo navyo, hata maisha yao sio uhalisia wanajiedit na kuekti life tu, ila kiuhalisia wanapigika na life kwelikweli, wa hivi lazma wapaparukie na kuangalia pesa tu,

na matokeo yake akiolewa na mwenye pesa, kwa kuwa hakumpenda ila aliangalia na kupaparukia pesa, ndo wanakuwa dizaini ya wale wanawake wa mabosi wanaotembea na vijana wa kutunza kuku, ng'ombe na nguruwe majumbani.

kwa dunia ya sasa, wanawake wasioangalia pesa au kuchagua mwenye pesa ni wale unaokuta wametoka familia za kishua na yeye mwenyewe mwanamke unakuta mfukoni yupo njema, yani kwake pesa sio tatizo labda matatizo mengine.

sasa wewe na wanawake wengine ndo mjitasmini mtaangukia au mpo kwenye kundi gani kati ya hayo hapo juu, maana naona blah blah nyingi humu.
 
wanawake wengi wa Tz wanatoka familia duni, alafu wanaongozwa kwa tamaa za vitu wasivyo na uwezo navyo, hata maisha yao sio uhalisia wanajiedit na kuekti life tu, ila kiuhalisia wanapigika na life kwelikweli, wa hivi lazma wapaparukie na kuangalia pesa tu,

na matokeo yake akiolewa na mwenye pesa, kwa kuwa hakumpenda ila aliangalia na kupaparukia pesa, ndo wanakuwa dizaini ya wale wanawake wa mabosi wanaotembea na vijana wa kutunza kuku, ng'ombe na nguruwe majumbani.

kwa dunia ya sasa, wanawake wasioangalia pesa au kuchagua mwenye pesa ni wale unaokuta wametoka familia za kishua na yeye mwenyewe mwanamke unakuta mfukoni yupo njema, yani kwake pesa sio tatizo labda matatizo mengine.

sasa wewe na wanawake wengine ndo mjitasmini mtaangukia au mpo kwenye kundi gani kati ya hayo hapo juu, maana naona blah blah nyingi humu.
Pesa bado ni material muhimu kwenye maisha, ukiwa huna kitu hata kunguru wanakuzomea.
 
Mimi nakubaliana nawewe.


ndio maana hata wakat tunasoma ,unakuta demu anakuambia "Somaa "

Nakweli usiposoma, mnamaliza kidato cha NNE, baada ya miaka miwili, mwenzako anasukuma NDINGA.
Ndo maana wanaume baadhi wanakuwa mashoga sababu wanaitamani nguvu ya ushawishi aliyo nayo mwanamke kwa mwanaume
 
Ahsante....Sasa kuna watu humu wanadhani ukiwa na pesa na umaarufu kama wa jamaa yao basi umemaliza kila kitu.
ni kwamba utapata unachokitaka na mwanamke yeyote unayemtaka utampata,

ila kwenye swala la mapenzi bado kuna uwezekano wa kuzungukwa tuu.
 
Pesa bado ni material muhimu kwenye maisha, ukiwa huna kitu hata kunguru wanakuzomea.
ukiwa na pesa chochote unachotaka unapata, hata ukitaka kula mwanamke yeyote umtakae dunia hii unakula yawezekana akakupa na kijambio kama bonus.

ila kwenye swala la mapenzi bado kuna uwezekano wa kuzungukwa. Mabos wengi wake zao wanaliwa nje.
 
ukiwa na pesa chochote unachotaka unapata, hata ukitaka kula mwanamke yeyote umtakae dunia hii unakula yawezekana akakupa na kijambio kama bonus.

ila kwenye swala la mapenzi bado kuna uwezekano wa kuzungukwa. Mabos wengi wake zao wanaliwa nje.
Siyo kweli, pesa ni muhimu lakini haiwezi kukuwezesha kumla mwanamke yeyote yule umtakaye, si kweli hata kidogo.
 
Kasemwa Sana jamani, kama hili linampa furaha Basi ikawe heri kwake, aibu kwa waliomnyanyasa, ni kawaida hawawezi kufurahia hili, nimewahi kupitia hali hii ya watu kukunyanyasa sababu unapitia ugumu fulani, mambo yalipobadilika😂😂😂😂hebu nicheke mie, akomae na lwake binadamu tumejaa unafiki sana
Halafu usishangae Hamisa aliitwa Dubai na mchizi kwa ajili ya video shooting tu na Hamisa ametumia fursa hiyo kuwakimbiza watesi wake.

Maana dada zangu nawajuwa mwenyewe tungerushiwa mpaka picha wapo kitandani na video clip juu.

Jamaa Rick Ross anatowa single yake December na bado anamalizia shooting, you never know Hamisa alikula dill la video tu then mchizi kasepa zake unyamwezini.

Vacation Dubai haiwagi hivi kwa watu wenye pesa, unasepa kabla ya weekend.
 
Halafu usishangae Hamisa aliitwa Dubai na mchizi kwa ajili ya video shooting tu na Hamisa ametumia fursa hiyo kuwakimbiza watesi wake.

Maana dada zangu nawajuwa mwenyewe tungerushiwa mpaka picha wapo kitandani na video clip juu.

Jamaa Rick Ross anatowa single yake December na bado anamalizia shooting, you never know Hamisa alikula dill la video tu then mchizi kasepa zake unyamwezini.

Vacation Dubai haiwagi hivi kwa watu wenye pesa, unasepa kabla ya weekend.
Lakini dalili za wao kutakana zilikuwepo kitambo eti, ingeleta maana kama RR angwkuwa mbongo tungesema Ni kiki ya video,,nachoamini yote yanawezekana nakajua kuwaumiza wabaya wake vilivyo hawaaamini wanachokiona yani
 
Wanawake wana roho ngumu sana🚶🚶🚶
QX.jpg
 
Back
Top Bottom