Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Mwili wa sasa hivi ea shemeji mbona kawaida tuu[emoji1787][emoji1787]Kwahiyo shemeji wa Taifa haujamkubali [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwili wa sasa hivi ea shemeji mbona kawaida tuu[emoji1787][emoji1787]Kwahiyo shemeji wa Taifa haujamkubali [emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nani huyo depal......ila mimi nakuelewa[emoji7]Katika memba siwaelewagi ni huyo kijana
🤣🤣🤣 Ila wewe dada/kaka you made my day yaanHuyo huyo kuna kipindi walikuwa mashoga kipindi kileee amemuita mcheza sinema wa naija omotola. Picha ziko Google mbona. Walikuwa wameungua kama kenge
We una uhakika hajalipwa? Acha wivuAsee chuchunge ni lijinga asee... imagine linatangaza Bellaire wine for nothing
Halipwi chochote, na Kei katoa ili kuwaumiza Domo na break price[emoji848]
Demu ovvyoo sana hili, utalalaje na manyama uzembe just for fame[emoji57]
Ndo nashangaaNa wewe umejifunza lini roho mbaya?
Hivi unaweza kupandishwa ndege hapa mpaka Dubai then ukarudi Bongo mikono mitupu?
First thing unamjuwa Rick Ross au umekaririshwa?
View attachment 2026454
Kama karudi nacho haina shida...shida angekiacha huko hukomshamba kashakiludisha kidudenyumbani ashakitoa kimasihara poleyake sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] furahi uongeze sikuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila wewe dada/kaka you made my day yaan
Rudi kwanza shule kujifunza kuandika dogo!basihamnatabu mpenihongere yake amewawakilisha kimataifa kwenyefani yenu muongezebidii
Kweli tena!sasa usuke au unyoe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah asije kunya kunyaaa mwishoe akawa anavaa pampasiKwani kama katoa tako shida ipo wapi? Si ni lake?
HeheheheSi tulikubaliana huyu ni ambasada wa kodi/tozo???[emoji849]
Wivu upi hebu nikuulize?[emoji848]We una uhakika hajalipwa? Acha wivu
Kishamba tena[emoji849][emoji849]Mobeto ameliwa kishamba sana
Kaishainvest tayari 😁Hehehehe
Subiria Rosey anakuja kuinvest bongo
Hahah..hii statement aliionhea dogo muuni anaitwa Kareem kweny movie ya coffee and KareemSo sad[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32], hapo ndipo picha za ngono zinapoanzia, wazungu sio watu wazuri