witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Umemuona DC wetu[emoji38][emoji38]Kaishainvest tayari [emoji16]
Ole wake ajifanye mjanja mjanja tutakutana kisutu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjomba hajachelewa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemuona DC wetu[emoji38][emoji38]Kaishainvest tayari [emoji16]
Ole wake ajifanye mjanja mjanja tutakutana kisutu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila DC mjasiri, au ndo huwa Hana choice nzuri...kabisa anaamua kumzalia mjomba? Huyu mjomba kutwa kuwakagua kina Nai VIP lounge?Umemuona DC wetu[emoji38][emoji38]
Mjomba hajachelewa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umemuona DC wetu[emoji38][emoji38]
Mjomba hajachelewa kabisa
Sasa atafanyaje dea, ameona lililo bora kwake n hilo.Ila DC mjasiri, au ndo huwa Hana choice nzuri...kabisa anaamua kumzalia mjomba? Huyu mjomba kutwa kuwakagua kina Nai VIP lounge?
Ana exposure, angeweza kujiweka Kwa mtu WA maana, labda Kama anapenda mapicha pichaSasa atafanyaje dea, ameona lililo bora kwake n hilo.
Unajua kama huna bahati na haya mambo ya mapenzi inabidi ukubaliane na uhalisia asee[emoji848]Ila DC mjasiri, au ndo huwa Hana choice nzuri...kabisa anaamua kumzalia mjomba? Huyu mjomba kutwa kuwakagua kina Nai VIP lounge?
Je kama kakosa?Ana exposure, angeweza kujiweka Kwa mtu WA maana, labda Kama anapenda mapicha picha
No comment, Ila exposure yote hiyo anakosaje? Au anachagua sana mwisho anachagua koromaJe kama kakosa?
We acha tu mdada wa watu mzuri ila anakoangukia asee[emoji848][emoji848]No comment, Ila exposure yote hiyo anakosaje? Au anachagua sana mwisho anachagua koroma
Km hawapo? Au hawapati?Ana exposure, angeweza kujiweka Kwa mtu WA maana, labda Kama anapenda mapicha picha
Kwahiyo na sie wengine tufate nyayo hakuna namnaMademu wa kimarekani wanazinguwa sana, kwahiyo akikutana na demu wa Kibongo anajiona yuko dunia nyingine.
Nchi zilizowapa haki za kupitiliza wanawake ni tatizo.
Shosti anasifika kuroga mama mondi mwenyewe alisanda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amroge tu kwa kweliHapo mjuba rozey achomoi!!! Atapigwa hata tunguli[emoji28]
Wanakuambia usililie uzuri,Lilia bahati...da JoJo ndo alipoangukia sasa!No comment, Ila exposure yote hiyo anakosaje? Au anachagua sana mwisho anachagua koroma
Anapenda wakaka wa mjini Da DC,maana kuanzia Mondi,Kiba 4 real,Hasheem Thabeet,Marehemu zee mafew[emoji40][emoji40](mouth shati up!!)Km hawapo? Au hawapati?
😂😂😂😂kwani hawajapima?je kama jamaa lina ngoma?