Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Ndio watu wajue kusoma Kayumba hakumzuii mtu kuwa fluent in English
 
Shemeji kila mtu ni shujaa katika engo yake, kitu sijaelewa hapa ni kwanini zimehusishwa shule hapa.

Na jamii inatakiwa ipokee nini kutoka kwenye hili bandiko?
naelewa, yeye kachukulia kusoma kayumba Kisha kutoboa kwa kuolewa na azizi basi ni huge life achievement

ambayo ni Bora kuliko walio Soma English medium.
kwani likud ana sema kayumba ni great kuliko em.

Ila kwa wanajamii wanao muona hamisa na life style yake, sioni Cha kuji vunia au kushangilia hapo!.

Ana wanaume 2 walio mzalisha, kaonekana kwenye tuhuma za ajabu ajabu halafu leo aje awe reference ya kayumba is great than em. big nah
binti kiziwi
 
Haya sasa, watu wa kayumba na role model wao.
Oops nimekosea njia 🙆‍♀️
 
Ila tukienda na ule ukweli japo sio jambo la kujivunia au kusifia.

Kwa aina ya maisha ya wanawake wa hapa dar, Hamisa yuko smart sana kuliko graduates wengi sana.

Kuna wanawake wengi sana wasomi wamezalishwa na wanaume wa ovyo wasiokuwa na mchango katika maisha ya wanawake hao na wamegeuka kuwa bitter single mothers.

Hali hiyo ni tofauti kwa Hamisa, siku zote huwa ana fanya smart choice ya mwanaume ambapo mwanaume huyo ni aidha atamsaidia kupush brand yake au kumpa mapene yatakayomsaidia kusogesha maisha yake na mwanae.
 
Shemeji my concern is; issues ya Hamisa ingeweza kujadiliwa bila kuweka mambo ya shule hapa.

Nakosa Muunganiko na mtiririko mzuri wa matukio, kuna scenario zaidi ya 3 zinazofanya hii kitu isimake sense; Kuna wanakayumba kibao wanawake wamelost, kuna wana EM kibao wamelost, kuna wana kayumba baadhi wamefanikiwa, kuna wanawake wana EM kibao wamefanikiwa.

Hamisa ni celeb/socialite njia zake za mafanikio ni tofauti na ambao sio maceleb, hivyo si busara akatumika kama inspiration kwa wote, anapaswa kutumika kama inspiration kwa wale wanatumia njia ya umaarufu kufanikiwa, hivyo hatuwezi kuwadiscourage watoto wa kike kusoma/kusoma shule nzuri sababu si lazima waje kuwa maarufu, if they will win, they will win differently.
 
mule mule, ni sawa na batilda umfananishe na hamisa !
 
Msimguse dada wa taifa, business man mahiri.
 
Ndo huyo mwenye zero?
 

Attachments

  • Screenshot_20250216_025043_Opera Mini.jpg
    519.8 KB · Views: 3
Mambo makubwa yenyewe ni ndoa na Aziz kiii 🤣🤣🤣🤣
 
Kumbe U malaya nao ni kazi ya kupigiwa chapuo!
 
Mambo makubwa kuwa engaged na footballer wa yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…