LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How do you know that?
People have to tell you that u have a bright aura na sio wewe useme unayo.
I aren’t living with shadow they says and praise it manHow do you know that?
People have to tell you that u have a bright aura na sio wewe useme unayo.
Ghosts😂😂😂 so am i that strong living with ghosts ooohWho are they? Mention them so that I know u are not talking about ghosts
You are right"I am not living"
Oooh hiyo ni makosa unafanya 2XU have to be 18 to 22. Not older than that. Hata maneno yako tu Haya suggest unacho claim
Putting me in 18/22?!!! You are wrongHow and why?
mie nadhan akili kubwa ni kustahimili na kudumu katika ndoa sio kulipiwa mahari kubwa au kumudu kulea watoto wawili kila moja na babake.I am so proud of you Hamisa.
This girl need to be studied.
Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School)
Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters.
Wazazi tunao somesha watoto wetu tusisahau kuhusu kitu kinaitwa " Fate".
Fate is everything.
Fate cane be manipulated. How ?
By "connecting" yourself.
How do you connect yourself? ( It will be a topic for another day).
Fate ilivyo ya ajabu Kuna wadada ni graduates kabisa na wamesoma shule za private kuanzia chekechea lakini wanatamani wao ndio wangekuwa Hamisa.
Graduates wengi wa kitanzania wanafikiria kwa kutumia masomo yao shuleni na sio kwa kutumia akili zao .
Kwa mfano graduates wengi ndio wanashangaa kuona Hamisa single mother mwenye watoto wawili Kila mmoja na baba ake kuolewa na star kwa mahari ya milioni thelathini.
Hapo ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.
Ndio maana napinga sana suala la kulipia elimu ya mtaala wa Necta kwa sababu ina mkaririsha tu mwanafunzi ujinga ujinga but haitoi kilichomo ndani yake.
No value for money.
Kwa akili ya graduate wa kitanzania, Hamisa kuzaa watoto wawili Kila mmoja na baba ake ulikuwa ndio mwisho wa Hamisa.
Duh graduates wa Necta bana
# Haya sasa twende KAZI.
Moderator uzi usiunganishwe