Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Mwalimu samweli maneno ikiwa upo hapa jamiiforums au Kuna anayemjua amfikishie ujumbe kuwa isingekuwa wewe kunidharau na kuniona siwezi kukulipa hela uliyotaka hakika Leo hamisa alikuwa ni mke wangu wa ndoa .
Ila kwakuwa nilikuja na nilikuwa nakuja kwa kuandamana na watoto wa keko ukadhani Mimi ni muhuni kumbe sivyo .

Nenda mobeto Ila jua F bado anakukumbuka kwa mengi hasa vile ulivyoanza kutaka kunikubali Ila kimwalimu kisicho na mbele Wala nyuma kikaziua jitahada zangu .

Niko mbeya siku yanga wakiwa na mechi mbeya basi msindikize shemeji na Mimi nitakuja uwanjani walau nikae sehemu ya wazi unione nilivyo kwasasa na mapenzi yanayoendelea kuniadhibu
Pole sana mkuu ulikosa kitu kikubwa sana kwenye maisha yako . Hamisa mzuri sio poa.

Nimewahi kukutana nae live mara kadhaa.

I know how to read people's energy.

She vibrates and operates in a very higher frequency and she has got a very strong and powerful aura.
 
Have you ever slip your finger on my pussy? If yeah then shut up and keep it up
My heart is bleeding for you. Mwanamke smart hafai kuongea maneno ya hovyo.

Mwanamke anae ongea maneno ya hovyo tafsiri yake ni kwamba she is possessed by evil spirits.
 
Inaonekana umeumia sana Hamisa kutolewa mahari ya milioni thelathini maana sio kwa hasira hizo🤣🤣🤣
Wewe unaona ni jambo la sifa kwa Hamisa hilo kutumia kipocho kama silaha? Yaani kila mtoto na baba yake na uko confortable kabisa
 
Kuna philosophy moja imeeelezea hilo swala .

Kuwa unaweza kuwa unampenda Sana mwanamke Ila huyo Mwanamke na wewe nyote ni masikini .

Hivyo unaweza kuamua kumuoa mwanamke usiyempenda Sana Ila ana nafuu ya maisha au anatoka familia bora kwa lengo la kuhakikisha uzao wako ukija unamkuta Mama mwenye nafuu ya maisha kuliko kukuta mama na baba wote wanaunga maisha.

Hii philosophy aliitumia Socrates alipoambia anafundisha uongo na akaambiwa asifundishe tena na akaona kuendelea kuishi kwa aibu na kuzuiliwa kile anapenda kufanya bora ajiue .
You nailed it
 
Hii umetoa kwenye movie hii nishaiona hiyo movie.
Movie? Aaah hebu niache

Endelea kumsemea Hamisa.
I have very bright aura ila i do believe in true love than let me love you because of what you are/have
 
Movie? Aaah hebu niache

Endelea kumsemea Hamisa.
I have very bright aura ila i do believe in true love than let me love you because of what you are/have
Oya nimukukubali sana the way ulivyo muhandle jamaa very maturely.

Ila dizaini naona kama LIKUD anakuelewa hivi, sema anazunguka zunguka tu kama madalali wa kariakoo😅
 
Back
Top Bottom