Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa

Akili ya Hamisa ni kubwa kuliko kundi kubwa sana la vijana wanaochangia hapa jf na wa mitaani na hata wanasiasa wengi tu! Ili kumdhalilisha watasema ni k na pia kujifariji na kujustify failure zao! Kwani kuna wanawake wangapi na wana k zao kwa nini hawapati tija nazo! Likud kasema fate is everything na inakuja kwa anayejituma kufanya yake akakutana nayo!
Lawama ziwandee wanawake wanao jihusha na wanaume malofa dunia ina mambo!
 
Kwahiyo unashauri wazazi wahamasishe umalaya,udangaji,kujiuza na kuzaa na wanaume tofauti kwa mabinti zao badala ya kusoma na kupata maarifa ya kufanya mambo ya kimaendeleo kama namna ya kuweza kujikwamua kiuchumi?

Hamisa ana shughuli gani ya kiuchumi unayoijua wewe ambayo unaweza sema ni halali?
 
I am so proud of you Hamisa.

This girl need to be studied.

Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School)

Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters.

Wazazi tunao somesha watoto wetu tusisahau kuhusu kitu kinaitwa " Fate".

Fate is everything.

Fate cane be manipulated. How ?

By "connecting" yourself.

How do you connect yourself? ( It will be a topic for another day).

Fate ilivyo ya ajabu Kuna wadada ni graduates kabisa na wamesoma shule za private kuanzia chekechea lakini wanatamani wao ndio wangekuwa Hamisa.

Graduates wengi wa kitanzania wanafikiria kwa kutumia masomo yao shuleni na sio kwa kutumia akili zao .

Kwa mfano graduates wengi ndio wanashangaa kuona Hamisa single mother mwenye watoto wawili Kila mmoja na baba ake kuolewa na star kwa mahari ya milioni thelathini.

Hapo ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.

Ndio maana napinga sana suala la kulipia elimu ya mtaala wa Necta kwa sababu ina mkaririsha tu mwanafunzi ujinga ujinga but haitoi kilichomo ndani yake.

No value for money.

Kwa akili ya graduate wa kitanzania, Hamisa kuzaa watoto wawili Kila mmoja na baba ake ulikuwa ndio mwisho wa Hamisa.

Duh graduates wa Necta bana

# Haya sasa twende KAZI.

Moderator uzi usiunganishwe
Picha mkuu sisi wengine hatumjui Hamisa.
 
Oooh so utafundisha your daughter jinEsi ya kutega wanaume wenye hela? 🥱
Hata hujaelewa mada yangu. But sikulaumu najua wewe ni graduate wa mtaala wa Necta. You guys are very slow
 
Kwahiyo unashauri wazazi wahamasishe umalaya,udangaji,kujiuza na kuzaa na wanaume tofauti kwa mabinti zao badala ya kusoma na kupata maarifa ya kufanya mambo ya kimaendeleo kama namna ya kuweza kujikwamua kiuchumi?

Hamisa ana shughuli gani ya kiuchumi unayoijua wewe ambayo unaweza sema ni halali?
Malaya ni nani?

Malaya ni mwanamke yoyote yule ambae anafanywa waziwazi kiasi hadi baba ake na mama ake wanajua kwamba anafanywa na wanamjua ambae anamfanya ni nani. Huyo ndio Malaya.
Wakati mwingine Malaya huyu hupewa cheti maalumu cha kuhalalisha umalaya wake hadi mbele ya wazazi wake. Cheti hicho kimebatizwa jina na kuitwa " Cheti cha ndoa".


Mwanamke ambae sio Malaya hufanya sex kwa uficho na wazazi wake hawawezi kujua kama anafanya sex achilia mbali kumjua mwanaume wake.

Swali kwako sasa. Je ulizaliwa ndani ya ndoa?

Baba na mama wa mama yako mzazi walikuwa wanamjua baba yako?

Walikuwa wanajua kama ameolewa?


Kama jibu lako ni ndio then jipigie makofi
 
Unataka kusemaje mkuu? Kwamba mabinti waishie form 4 waingie mtaani kudanga kwa wanaume wenye hela? Ungetolea mfano kwa wanawake angalao level ya spika tulia kidogo ungeeleweka, kuliko kumtumia gold digger kama rejea.
Aisee
 
Akili ya Hamisa ni kubwa kuliko kundi kubwa sana la vijana wanaochangia hapa jf na wa mitaani na hata wanasiasa wengi tu! Ili kumdhalilisha watasema ni k na pia kujifariji na kujustify failure zao! Kwani kuna wanawake wangapi na wana k zao kwa nini hawapati tija nazo! Likud kasema fate is everything na inakuja kwa anayejituma kufanya yake akakutana nayo!
100% Fact.

Hornet
 
Sasa wivu kwa Hamisa wanini wakati wewe unaandikaga nyuzi humu unasema wewe lesbian? 🤣🤣🤣

Nilicho kiandika Kipo sahihi kabisa kwa mtu ambae hana stress
Khaaa na una muda wa kunifatilia 😅😂😂😂 aisee utapoteza muda wako bure endelea kumfatilia Hamisa tu
 
Back
Top Bottom