pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lawama ziwandee wanawake wanao jihusha na wanaume malofa dunia ina mambo!Akili ya Hamisa ni kubwa kuliko kundi kubwa sana la vijana wanaochangia hapa jf na wa mitaani na hata wanasiasa wengi tu! Ili kumdhalilisha watasema ni k na pia kujifariji na kujustify failure zao! Kwani kuna wanawake wangapi na wana k zao kwa nini hawapati tija nazo! Likud kasema fate is everything na inakuja kwa anayejituma kufanya yake akakutana nayo!
Anaibana kwa ndani ...Anajua kutumia kipochi manyoa chake vizuri. Haihitaji Kayumba wa St. Yellow bus.
Ni kujua kuifinyia kwa ndani vizuri na kujua nani wa kumfinyia.
Picha mkuu sisi wengine hatumjui Hamisa.I am so proud of you Hamisa.
This girl need to be studied.
Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School)
Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters.
Wazazi tunao somesha watoto wetu tusisahau kuhusu kitu kinaitwa " Fate".
Fate is everything.
Fate cane be manipulated. How ?
By "connecting" yourself.
How do you connect yourself? ( It will be a topic for another day).
Fate ilivyo ya ajabu Kuna wadada ni graduates kabisa na wamesoma shule za private kuanzia chekechea lakini wanatamani wao ndio wangekuwa Hamisa.
Graduates wengi wa kitanzania wanafikiria kwa kutumia masomo yao shuleni na sio kwa kutumia akili zao .
Kwa mfano graduates wengi ndio wanashangaa kuona Hamisa single mother mwenye watoto wawili Kila mmoja na baba ake kuolewa na star kwa mahari ya milioni thelathini.
Hapo ndio uwezo wao wa kufikiri ulipoishia.
Ndio maana napinga sana suala la kulipia elimu ya mtaala wa Necta kwa sababu ina mkaririsha tu mwanafunzi ujinga ujinga but haitoi kilichomo ndani yake.
No value for money.
Kwa akili ya graduate wa kitanzania, Hamisa kuzaa watoto wawili Kila mmoja na baba ake ulikuwa ndio mwisho wa Hamisa.
Duh graduates wa Necta bana
# Haya sasa twende KAZI.
Moderator uzi usiunganishwe
Thanks my fellow f slow learnerHata hujaelewa mada yangu. But sikulaumu najua wewe ni graduate wa mtaala wa Necta. You guys are very slow
Malaya ni nani?Kwahiyo unashauri wazazi wahamasishe umalaya,udangaji,kujiuza na kuzaa na wanaume tofauti kwa mabinti zao badala ya kusoma na kupata maarifa ya kufanya mambo ya kimaendeleo kama namna ya kuweza kujikwamua kiuchumi?
Hamisa ana shughuli gani ya kiuchumi unayoijua wewe ambayo unaweza sema ni halali?
100% Fact.Akili ya Hamisa ni kubwa kuliko kundi kubwa sana la vijana wanaochangia hapa jf na wa mitaani na hata wanasiasa wengi tu! Ili kumdhalilisha watasema ni k na pia kujifariji na kujustify failure zao! Kwani kuna wanawake wangapi na wana k zao kwa nini hawapati tija nazo! Likud kasema fate is everything na inakuja kwa anayejituma kufanya yake akakutana nayo!
Khaaa na una muda wa kunifatilia 😅😂😂😂 aisee utapoteza muda wako bure endelea kumfatilia Hamisa tuSasa wivu kwa Hamisa wanini wakati wewe unaandikaga nyuzi humu unasema wewe lesbian? 🤣🤣🤣
Nilicho kiandika Kipo sahihi kabisa kwa mtu ambae hana stress
Hii ndo pointNachojua she is smart.
Maana anatazama mbele kwa kuangalia future za watoto wake.
Swala la kayumba halina uhusiano na Mobeto kufanikiwa au kutokufanikiwa .
Uko na mimi bado?