Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Kwanini huyo mganga asijitokeze mbele ya vyombo vya habari akahojiwa tukamfahamu, hiyo clip inatakiwa iwe collaborated na mahojiano ya mganga ili watu wamfuatilie kama amepangwa itajulikana mapema au atajwe jina ili waandishi wamfuate kumuhoji lakini hivi hivi ni ngumu mtu kusikiliza clip na kuamini wakati kuna mafundi wa kuigiza sauti ukiwalipa tu ni dk sifuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzangu mnatumia instagram ipi?! Mm kwangu sionagi kbs hizi mambo....hongereni
 
Nadhani mganga aletwe athibitishe hii movie kuiprove au kuidisaprove ni rahisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole yake hiyo trend kwenda kwa waganga wasichana imeshamiri
Ila najuwa shoga mpango wa kuleta twins bado unao
 
Ungeweka audio kwa post yako namba moja watu wasikie ambao bado waamue kama ni yeye au sio na kama sio yeye kwanini mtu ndio aongelee kiundani kihivyo ili iweje..

Huu uzi nimeishia page ya kwanza napita..
 
Kile kidada kinaonekanaga kijinga tu hata kikiwa kinaongea! Afuu kinapenda mambo makubwa balaa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu huwa wanapenda kuhukumu moja kwa moja sijui kwanini watanzania tunapenda kuhukumu na kujiona watakatifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuona mama wa ubuyu,yaani matukio kama haya ndo huwa nakuona [emoji16]

Sijazipata maa
Hahahaa we nae mpana km pazia la sinema, hizi habari hata Numbi atakuwa keshazipata.
Actually huu ubuyu niliusikia kitambo ila leo jioni baada ya mihangaiko nikasema niende mtaa wa pili kule ndio nikakuta hali si shwari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kashaupata huu,hujamuona huko juu?
Kuna siku alileta kitu kama hii kule home.

Sema maisha ya mjini bhana,ngoja nikatafute hizo voice notes kwanza.
 
Familia ya platnumz daah wamenisikitisha saaana ukisikiliza kwa makini ile voice note eti Hamissa anasema anamjua diamond miaka 10 iliyopita wakati hamisa ana miaka 23 kwahyo Hamisa kaanza kugongwa na mondi kipindi ana miaka 13 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndipo walipobugi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…