Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
😛😛😛😛😀
Nadhani mganga aletwe athibitishe hii movie kuiprove au kuidisaprove ni rahisi sanaSio hamisa yule yaani kama wanasema kapewa namba na shoga ake jiulize mama mobeto alimjuaje kama kapewa namba!
Kingine kama mganga wake kwa nini aulize jina
Sawa hamisa kafulia ndo ashindwe kumpa mganga pesa yake kwa wakati!uongo mtupuu!
Nimegoma kuamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Simuogopi mungu ninamuogopa Mungu.Ulimuona.muogopeni mungu jamani maisha ya mitandaoni yasiwafanye muongee sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii issue ni ya muda Mkuu ni vile tu imechelewa kuja mtandaoni hizi clip ni toka mwezi wa 7 Mwanzoni.remember voice of wema na mbowe....voice zinatengenezwa tu......achana na izi drama za watafuta kiki mjini ili wasisahaulike
huwa siamini upuuziHii issue ni ya muda Mkuu ni vile tu imechelewa kuja mtandaoni hizi clip ni toka mwezi wa 7 Mwanzoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv unataka kusema hujazipata? Kule mitaa ya instagram mbona zimezagaa sana.Ray weka hizo voice notes basi.
Ata kunitag...?!!!Simlaumu kwenda kwa Mganga maana watoto wa mjini ndiyo zao.
Namlaumu kumpigia mganga simu ambaye huyo mganga anajuana na mama diamon na ashawahi kumtibia mama diamond....ilo ndo kosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kile kidada kinaonekanaga kijinga tu hata kikiwa kinaongea! Afuu kinapenda mambo makubwa balaa!Inawezekana ingawa wanasema hamissa alipewa no na shoga ake.
Ila Hamissa unakumbuka wakina cynthia walimtoa kwenye show after kukutwa nyumbani kwa cynthia anafanya dawa? Yaani issue zake hapigi mahesabu vizuri anakurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuona mama wa ubuyu,yaani matukio kama haya ndo huwa nakuona [emoji16]Hv unataka kusema hujazipata? Kule mitaa ya instagram mbona zimezagaa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora we watu waliigiza sauti ya wema ,mi bado sijaamini mpaka huyo mganga ajitokezeUlimuona.muogopeni mungu jamani maisha ya mitandaoni yasiwafanye muongee sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu huwa wanapenda kuhukumu moja kwa moja sijui kwanini watanzania tunapenda kuhukumu na kujiona watakatifuKwanini huyo mganga asijitokeze mbele ya vyombo vya habari akahojiwa tukamfahamu, hiyo clip inatakiwa iwe collaborated na mahojiano ya mganga ili watu wamfuatilie kama amepangwa itajulikana mapema au atajwe jina ili waandishi wamfuate kumuhoji lakini hivi hivi ni ngumu mtu kusikiliza clip na kuamini wakati kuna mafundi wa kuigiza sauti ukiwalipa tu ni dk sifuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa we nae mpana km pazia la sinema, hizi habari hata Numbi atakuwa keshazipata.Nakuona mama wa ubuyu,yaani matukio kama haya ndo huwa nakuona [emoji16]
Sijazipata maa
Yule kashaupata huu,hujamuona huko juu?Hahahaa we nae mpana km pazia la sinema, hizi habari hata Numbi atakuwa keshazipata.
Actually huu ubuyu niliusikia kitambo ila leo jioni baada ya mihangaiko nikasema niende mtaa wa pili kule ndio nikakuta hali si shwari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Instagram zimezagaa kila kona yaan hadi za dai mwenyewe dizain km analaan hicho kitendo.Yule kashaupata huu,hujamuona huko juu?
Kuna siku alileta kitu kama hii kule home.
Sema maisha ya mjini bhana,ngoja nikatafute hizo voice notes kwanza.