carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Ray weka hizo voice notes basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unaona diamond ni wa kurogwa? Mama yake kila siku kushinda kwa wagangaHamisa akifikisha 40 lazima awe mganga duh aliloga had Zari akabwaga manyaga aisee. Sometimes vtu vingine havihitaji uchawi ni wewe tu kuji behave vzuri, majjizo yenyewe ilimshinda tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mwishowe atakujaga kujiloga mwenyewe au amloge asiyelogeka apate majanga bure, aibu sana aisee loh
Ogopa sana uchawi wa kibatari dada,tatizo haudumuHamisa akifikisha 40 lazima awe mganga duh aliloga had Zari akabwaga manyaga aisee. Sometimes vtu vingine havihitaji uchawi ni wewe tu kuji behave vzuri, majjizo yenyewe ilimshinda tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa zote zija expire date au anafikiri za uganga hazina. Kajisemea diamond kama unaroga, roga kazi zako ziende sio unamroga mwanaume akuoe.Hamisa akifikisha 40 lazima awe mganga duh aliloga had Zari akabwaga manyaga aisee. Sometimes vtu vingine havihitaji uchawi ni wewe tu kuji behave vzuri, majjizo yenyewe ilimshinda tabia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi anauza mchele,ni punga mmoja tu hivi mbea kutuzidi hadi sisi humuHuyo Juma Lokole mbona ni maarufu sana aisee (ana shughuli gani mjini)
Umeona eeeh watu wakigoma ni hatari kwa hayo mambo Hamisa eti aliloga ikadunda kwa mondHivi unaona diamond ni wa kurogwa? Mama yake kila siku kushinda kwa waganga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Juma Lokole mbona ni maarufu sana aisee (ana shughuli gani mjini)
Mi najua diamond hayupo wa kumroga labda mama yaie mzazii niwaambieniUmeona eeeh watu wakigoma ni hatari kwa hayo mambo Hamisa eti aliloga ikadunda kwa mond
Sent using Jamii Forums mobile app
FungukaInawezekana ingawa wanasema hamissa alipewa no na shoga ake.
Ila Hamissa unakumbuka wakina cynthia walimtoa kwenye show after kukutwa nyumbani kwa cynthia anafanya dawa? Yaani issue zake hapigi mahesabu vizuri anakurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo shida ya hayo mambo ya uganga aisee na mond alishaingia line mamake ndo akamnasua kinguvu, na siku hyo mama mkwe alimdunda Hamisa Madale, sasa kinachomfanya amng'ang'anie mond ni nini, mama mond alishasema Kigoma hatoki boy aiseeOgopa sana uchawi wa kibatari dada,tatizo haudumu
Hamisa alilenga kuwafarakanisha,na kumvuta Djiamond
Aliweza kuwafarakanisha,kazi ikawa kumvuta Diamond,hamisa alisahau kumroga mama mkwe mpaka anastuka wenzake wamemmaliza
Kazi kweli unaloga ili uoelewe hafu iweje jamani heeeh dunia ina mambo ndoa za Ku force ni hatari sanaDawa zote zija expire date au anafikiri za uganga hazina. Kajisemea diamond kama unaroga, roga kazi zako ziende sio unamroga mwanaume akuoe.
Sasa hivi anauza mchele,ni punga mmoja tu hivi mbea kutuzidi hadi sisi humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa aisee Zari bora aliikimbia hii familia si ya mchezoMi najua diamond hayupo wa kumroga labda mama yaie mzazii niwaambieni
Sent using Jamii Forums mobile app