Aisee acha tu kuna ya kulishwa maji ya maiti hiyo from kondoa/singida huyo mwanaume haachii labda huyo maiti afufukeWanaume Mungu awasaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee acha tu kuna ya kulishwa maji ya maiti hiyo from kondoa/singida huyo mwanaume haachii labda huyo maiti afufukeWanaume Mungu awasaidie
Mbeba mapochi wa familia ya kina baba tee
Akili ya hamisa na mama yake zimedumaa,wanawaza vya kupewa na kupata mtu maarufuNdo shida ya hayo mambo ya uganga aisee na mond alishaingia line mamake ndo akamnasua kinguvu, na siku hyo mama mkwe alimdunda Hamisa Madale, sasa kinachomfanya amng'ang'anie mond ni nini, mama mond alishasema Kigoma hatoki boy aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ya hamisa na mama yake zimedumaa,wanawaza vya kupewa na kupata mtu maarufu
Kama Hamisa angekua wa maana angeshabwaga manyanga hadharani kama zari,kwa sababu hana cha kupoteza ataishi kwa child support
Duamond ni mgumu kuhonga kwanza,ni wema tu alibahatika alipewa 50 aende china akafanyia pati,akapewa gari akaliuza kwa nyodo leo anatembelea uber bajaji
Halaf dai haonagi madhaifu ya ndugu zake,ni wa kumuacha,ukiwa na mahusiano na diamond usijulikane kabisa na ndugu zake labda mpaka ndoa tu,wale watu wagumu sana kuishi nao karibu kila mwanamke wa diamond ananp matatizo
Funguka
Ndio anakopatia ugali lazima akubaliKidume kimeridhika kabisa
Huyu dada alivyo na chuki hata simuaminigi kabisa hata aseme nini
Sasa hapo kupata maarufu ndo wanahangaika kwa waganga tofauti tofauti, hawajui kuwa in this life no short cut, huyo Hamisa kashakuwa maarufu atulie afanye ya msingi, wanafikiri Zari alikuwa mjinga kuachana na hyo familia sasa acha waumbuliwe.Akili ya hamisa na mama yake zimedumaa,wanawaza vya kupewa na kupata mtu maarufu
Kama Hamisa angekua wa maana angeshabwaga manyanga hadharani kama zari,kwa sababu hana cha kupoteza ataishi kwa child support
Duamond ni mgumu kuhonga kwanza,ni wema tu alibahatika alipewa 50 aende china akafanyia pati,akapewa gari akaliuza kwa nyodo leo anatembelea uber bajaji
Tatizo LA Hamisa Leo anachambwa kesho utakuta anachezewa kiuno na mavideo juu na huyo huyo Dai .Binafsi nilipoanza kusikiliza hizo clip wanazodai ni Hamisaanaongea na Mganga. Ila akili yangu imekataa kukubali ni sauti ya Hamisa. Ila Hamisa sasa hivi anapita kwenye magumu mengi namuonea hadi hiruma. Nadhani kuwa kimya kutamfanya aweze kuishinda hii vita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume asiye na msimamo na anaye msikiliza mamake hawezi dumu na wanawake aisee, I think hyo familia ingetaiiwa iwe na baba sasa bi Sandra ndo baba ukichangia na wanawake vibifu bifu visivoisha basi wanamyumbisha tu DiamondHalaf dai haonagi madhaifu ya ndugu zake,ni wa kumuacha,ukiwa na mahusiano na diamond usijulikane kabisa na ndugu zake labda mpaka ndoa tu,wale watu wagumu sana kuishi nao karibu kila mwanamke wa diamond ananp matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
wema ma kesi yake ya bange kasababisha mpaka wasanii wapigwe chini na ccmSasa hapo kupata maarufu ndo wanahangaika kwa waganga tofauti tofauti, hawajui kuwa in this life no short cut, huyo Hamisa kashakuwa maarufu atulie afanye ya msingi, wanafikiri Zari alikuwa mjinga kuachana na hyo familia sasa acha waumbuliwe.
Wema ndo nyumbu kabisa yeye had umaarufu una muisha hamna cha maana alichofanya hajifunzi kwa kina JoJo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakuambieni hata daimond amuoe nanii atakua mbaya tu tuombeni uzima,mi nashindwa kuwa upande wowote maana familia ya diamond sio ya kuitetea kabisaa,halaf kama clio imetengenezwa maana watu wakiona kuna mgogoro wanaongeza na kusuka zaidiMwanaume asiye na msimamo na anaye msikiliza mamake hawezi dumu na wanawake aisee, I think hyo familia ingetaiiwa iwe na baba sasa bi Sandra ndo baba ukichangia na wanawake vibifu bifu visivoisha basi wanamyumbisha tu Diamond
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo ujinga unaofanyaga. Na Dai ni anavyojua kuwachezea Akili sasa. Zari mwenyewe alinyooka. Sijui anawafanyiaga nini.Tatizo LA Hamisa Leo anachambwa kesho utakuta anachezewa kiuno na mavideo juu na huyo huyo Dai .
Hao wasanii bora walivopigwa marufuku huko ccm maana walikuwa na tabia mbaya chafu mfano za kina wema uhuni hafu wanapiga kampeni kwa chama dola huko sikukizalilisha chama kabisa aisee, acha wanyooke hawa wasanii.wema ma kesi yake ya bange kasababisha mpaka wasanii wapigwe chini na ccm
Hamisa hawezi kumaintain status bila ya kutumia kivuli cha diamond,akili hiyo hana
Duka na kafunguliwa na diamond nyumba kapangishiwa,sijui kodi ikiisha atahamia wapi,anavyoweka masharti basi,akikataliwa anasema mbona zari umemnunulia nyumba na pete za Almasi,!
Watu wana chuki jmn khaaa! Wanamjadil mtu ambaye pengine n mtoto/mdogo wao.Wanaume Mungu awasaidie
Mate ya mwanaume dada sumu!haswa yakiingia kwenye nyeti za mwanamke na ule mdomo anautumia vizuri kwa kubugia nyeti loteSijui anawafanyiaga nini.