Ashindane na Zari kivipi?Wengi walishasema ni kwa sababu anashindana na Zari wakati hana kitu, kwa kweli Hamisa kajikaanga mwenyewe.
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]naona ex wa hamisaa akipunguza maumivu!!Maisha ya maigizo yalimshinda Wema na sasa yanelekea kumshinda Hamisa, tena vibaya sana. Hili liwe fundisho kwa mademu wa kibongo, ya nini kung'ang'ania penzi usilostahili, khaaaa?
Ex wa hamisa wewe wallahi!!poleeee!!!Aliroga azae na Mondi ili apate kisingizio cha kutunzwa na kuwekwa mjini, hakurdhika na hilo anataka mpaka kumfanya msukule Mama yake Mondi, jamani Hamisa anatisha tena zaidi ya jambazi jeusi.
Mi nilikuwa najuaga kuroga ni hadithi tu ila nikienda saloon madada duu wakianza story had utashangaa hadi wamama watu wazima, hafu mbaya waganga eti hupaka dawa awaingizie kwa dudu huyo mganga ka si mhuni nini anatamani, mi huo ujinga ulishanishinda aisee,
Ana mloga mtu mwenyewe chibu anavosifika kwa ushirikina usio wa kawaida
Hapo kutekenywaZari aliachanaga na Ivan siku nyingi, though ule ujinga alokuwa anafanya na diamond ulimuumiza Ivan, uzuri na yeye diamond kaja kumuumiza kupitia hamisa, tena mapenzi yamemuumiza Zari kuliko kifo cha mumewe na mamake, maana siku ya msiba wa mamake alikuwa anatekenywa tu na Diamond
Asilimia kubwa sana aisee hyo haishangazi kabisa kwa madada duu wanaopenda mtelezo wa ganda la ndiziHapa mjini nilikua na bibi yangu anaitwa Bi Asia anakaa mbagala Rangi 3...!!wadada wa mjini wa enzi hizo walikua wanamtumia!kuna bibi mmoja anakaa kizuaina Nina,Sintah ndo alikua mganga wao!
Nora aliolewa na Ngw'izukulu jilala mganga walianza kutibiana kwanza! Mjini hapa hakuna asie mwangaa
Yani ufiwe na mamako ujipodoe vile hata kumlilia jamani, ki Africa watu huwa tunalilia wapendwa wetu mda, sasa yeye ni kukumbatiwa ndo akajiona kamiliki dunia yote kilichokuja kumkuta hata kaa asahau maisha yote, wanaume si wakuwaamini kiasi ushindwe kuwalilia mzazi wakoHapo kutekenywa
[emoji23] [emoji23] kuna watu walikua wanamtetea wanasema eti mzungu kaaah!nilichoka balaa!na ameumizwa kweli
Cha ajabu hamisa anamuitaga sema "da wema" shabaash!!!!
Tabu iko pale pale akule ile dick alikuaga anakula mwenzie afu leo amuite dada haipo hiyoHapo ndo unaafiki unapoanzia sasaa!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuna watu wana roho ngumu jamani!! Sijapata on a!msibani unafanya Yale Mungu kamuonyesha Kofi moja matata!Yani ufiwe na mamako ujipodoe vile hata kumlilia jamani, ki Africa watu huwa tunalilia wapendwa wetu mda, sasa yeye ni kukumbatiwa ndo akajiona kamiliki dunia yote kilichokuja kumkuta hata kaa asahau maisha yote, wanaume si wakuwaamini kiasi ushindwe kuwalilia mzazi wako
Teh karma is like 69 kwakweli, you get what you give, acha tu hamisa nae aonje maumivu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wa hivyo waogope....wewe fikiria kile kipindi anaenda anamtunza Zari kumbe pembeni anatembea na mond hata hofu hana
Sent using Jamii Forums mobile app
Alinishangaza alifanya hivo kumuonyesha diamond kuwa ana mpenda akashindwa kumlilia had Ivan matokeo yake anamkumbuka wakati hayupo. Yani sipati picha chibu mwenyewe angekuwa mamake I'm sure atazimia sasa yeye kujiona ana roho ngumu ka Iddi Amin huleta mahaba msibani, matokeo yake kaitwa kima.Kuna watu wana roho ngumu jamani!! Sijapata on a!msibani unafanya Yale Mungu kamuonyesha Kofi moja matata!
Tena msiba wa mzazi wako!hapana alikosea
Kuna kipindi hamisa alilorogwa kweli kabisaa na mama diamond alivyotoka kujifungua vile alikua chizi kabisaa!!Asilimia kubwa sana aisee hyo haishangazi kabisa kwa madada duu wanaopenda mtelezo wa ganda la ndizi
Ila Hamisa ana roho ngumu unamuibia mwenzako then unaenda kumtunza kabisa Mimi siwezi walahTeh karma is like 69 kwakweli, you get what you give, acha tu hamisa nae aonje maumivu
Wanaume wanapata tabu sana kuna muda inabidi kuwaangalia tu masikini!!!Ni aibu sana wanawake kuhangaika kwa waganga kisa wanaume.Zimeenda wapi zama za kuacha mtu akupende kwa matwakwa yake? Why mna force? Anyway, poleni kina kaka, hamna mnakoponea.
Hyo ya Misa kuchanganyikiwa niliskia aisee ndo alipelekwa had mbagala, mama chibu naye mwenzake hajapona operation unamuongezea ukichaa kah. Hii familia ya Dangote nao ni wanga IPO siku nao wataumbuliwa tu kuanzia diamondKuna kipindi hamisa alilorogwa kweli kabisaa na mama diamond alivyotoka kujifungua vile alikua chizi kabisaa!!
Akapelekwa tangaaa..kutibiwa nnae jirani yangu namuita aunty ana rafiki yake anakaa magomeni walienda Tanga wakakutana nao wanatibiwa so suala La uchawi bongo movie ni la wote vilinge vyote vya mjini wanavijua!
Mama diamond mwenyewe sio mchache!!tena yule ndo mkuu wa vilinge!Bongo movie wanajifanya kuwaita masheikh wawaombee dua kumbe ndo wanga wenyewe hao pale wanakua wanasomewa albadiri na Yale makafara wanalisha watoto yatima ndo inatakiwa maana mtoto hana kinyongo ukimpa anakuombea dua kweli kweli!!