Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

ungetuwekea na izo voice note ingependeza zaidi
 
kama ni uongo usimshauri akae kimya,mwambie atoke hadharani kupinga na kuwafikisha mahakamani Sandra na binti yake
Kuna taarifa kwamba Hamisa alianza juhudi za mapema ku pre empt situation kwa kutuma watu watangaze kuwa kuna interview ya sauti,anatakiwa mwenye kufanana sauti nae ili atumike kumchafua.
Ili asafishe jina anatakiwa akanushe na aende Tcra,yeye ni balozi wa mitandao.
Hakuna mwanaume mwenye akili timamu atamsogolea mwanamke mchawi
 
wakati amejifungua kuna mtu alimkuta mama ake kwa mganga mbagala
 
wakati amejifungua kuna mtu alimkuta mama ake kwa mganga mbagala
 
show gani.?
 
Haponi mtu,siku hizi kila mwanamke hapa mjini ana mganga wake mpaka vitoto vya shule,mkibadilishana namba tu anapeleka jina kwa babu
Wanaume mtapata tabu sana aisee ni kuwa makini na vyakula Maji Maji, hafu hali ikiwa ngumu ndo wanaongezeka, kuna Dada ni nurse wa hospital anasema huwa wanapewa hela na madada duu wawape cjui kondo la uzazi na vtu vya ajabu, eeeh nilivoskia nilichoka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama kutoka hadharani kupinga kunasaidia na hiyo Familia wanajikutaga wao ndiyo wao. Kama ni uchawi Huyo Sandra na Binti yake wakiri hawajawahi kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani angeweza kufanya hivyo. Asiwe na mazoea yoyote natamani hata Dylan afanye wasionane kabisa. Hamisa anaweza akiamua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama kutoka hadharani kupinga kunasaidia na hiyo Familia wanajikutaga wao ndiyo wao. Kama ni uchawi Huyo Sandra na Binti yake wakiri hawajawahi kufanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lipo kwa Hamisa ana chaguo aidha apambane kulinda image yake imeshuka hadi 0%,au aendelee kujinasibu tu kua yeye ni msichana kana kwamba umri kwake hausogei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…