Hamisa Mobetto na wakwe zake washikana uchawi

Uongo looh!duka kafungua mwenyewe!!!!hapo kupangiwa tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa kamapata wapi?
Diamond alivyokubali yaishe mahakamani alimpa lumpsum amount ya kupanga na biashara bibie akataka anunuliwe gorofa,akaambiwa basi tulia kwanza hapo,kodi ya miezi sita ikiisha watatafutana
 
Nakazia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
remember voice of wema na mbowe....voice zinatengenezwa tu......achana na izi drama za watafuta kiki mjini ili wasisahaulike
 
yani alishindwa kumloga majey anamloga mond familia yenyewe iyo ya shake well before use hamna atachoambulia,na kuna kipindi alilalamika mama mond anataka kummaliza yeye na mwanae
Hapo kwa majay huyo lulu alikutwa na hirizi zinapumua kabisaa!!!walizidiana tu ndumbaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeona ee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimuona.muogopeni mungu jamani maisha ya mitandaoni yasiwafanye muongee sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaaa Hamisa unamjua siku si nyingi vijembe vitaanza akisha mvulia tena Domo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…