Aisee mzee wa commercial huwez amini...ebu weka yote bayanaMkuu acha kabisa , tangu siku hiyo najiamini Mimi tu na nafsj Yangu siamini nafsi nyingine. Nikisema niweke niliyoambiwa huko kuhusu hawa wasanii hakuna atakaeamini hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app