Hamisa Mobetto ndiyo mke mtarajiwa wa Diamond, Zari asahau!

Inaonekana wakiwa faragha jamaa anampa maneno matamu,akitoka tu anakana
 
na zarina ni jiwe la mtoni hawez kukubali huyu mtoto amtoe nje ya madale hata afanyaje zari ni wa diamond
 
Makubwa,kabla ya dai kuwa na zari si alishakuwa na jokate na penny,wema zilipendwa alimuacha mwenyewe eti anaibiwa nyota,hio nyota aliyoachiwa hadi wa leo imemsaidiaje
Mnaamini sana uchawi ila mshana jr akitoa threads zake za ulozi mnamsakama aisee
Hill la mwisho ndo jibu yule bibi wa kiganda ana limbwata moja matata alifanya mpaka domo kamsahau Wema kipenzi chake itakuwa hamisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa na wanaume mwenye hela. Kubali yote.
Kudharauliwa, kuchekwa, kuumizwa nk

I'm the queen of my own empire. [emoji182]
 
Wema kadhalilishwa mara nyingi tu na dai,kumbuka lile tamasha la dai la kiingilio sh 50000 enzi hizo jokate ndo kashika usikan kwa dai,nadhan unakumbuka dai alimfanyia nn wema. Wema akirudi kwa dai atakamilisha ule usemi wa kwamba yeye ni nyumbu

Hizo nyimbo anazoimbiwa ni dhihaka tu
 
Hii ishu ya hamisa imeumbua watu humu,wengi ni michepuko au wake za watu ila waliwapata hao wanaume baada ya kuwakwapua kwa wanawake wenzao ndo maana wanamshabikia hamisa
Mbona mnalazimisha mondi amuache zari ina maana mmeo akizaa nje ndo unaachika acheni kuharibu mahusiano ya watu, haf wanawake msitegemee kuzaa na mtu ndo usababishe aache mpenz wake hyo msahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona naskia zari anaolewa na mond siku ambayo ni bday ya mobeto
 
Mbona mnalazimisha mondi amuache zari ina maana mmeo akizaa nje ndo unaachika acheni kuharibu mahusiano ya watu, haf wanawake msitegemee kuzaa na mtu ndo usababishe aache mpenz wake hyo msahau

Sent using Jamii Forums mobile app
zari ana moyo kama mawe hawezi kumuachia huyu kisweleswele mume never............... halaf kwanini zari asichukue ujuzi kwa lulu ndo kiboko ya mabeto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…