Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Kiufupi umeweka codes nyepesi mno kwenye Uzi ambao Hauna impact Wala mdhara yoyote kwako wala kwa public. Niliusoma nikaona ni ubuyu wa kipiuzi tuu ambao hukupaswa kuuwekew codes za kizembe. Injinia anakuogopesha nini mpaka ujibane bane kwenye Uzi wako. Wacha utoto
Uzi wa mwenzio unakuja na condition zako mkuu, si ungefungua wako bwana TAI DUME
 
Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!


HUU NDO UJINGA MNASIFIANA MBWA NYIE, MNATUHARIBIA KIZAZI. SHENZI KABISA.
 
Boss dollars zilivo ngumu kupatikana sasa hivi na hizi info uwekee code si hatari hii 😃
Tatizo nyie ni vigeugeu. Kuna siku nilileta habari ya wasanii wawili hapa nikaweka majina yao waziwazi mlinisema sana mara nitavunja ndoa za watu sijui nini.

Kuanzia sasa hivi ni code tu, mtafurahi 😆
 
View attachment 3005811

Mwanadada mrembo, mwanamuziki, mwigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga.

Mwanadada huyo na Kigogo wapo katika penzi la kificho kwa takribani mwezi wa pili sasa.

Penzi lilimea SA, Ubuntu Botho!
Wawili hao walikutana kwenye ndege wakati wa kuelekea kwenye mechi ya marudiano ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika, CAFCL dhidi ya miamba ya Soka ya Afrika ya Kusini Mamelody Sundowns.

Kigogo huyo kijana mwenye haiba ya kitanashati na mwenye sifa kuu tatu wazipendazo zaidi wanawake kutoka kwa wanaume… tall, dark and handsome jina lake hutajwa kwa kutanguliwa na taaluma yake.

Inataarifiwa kwamba wawili hao walizama penzini punde tu walipokutana kwenye ndege, na hadi kutua S.A penzi lilishachipua!

Taarifa zaidi zinasema hata uwanjani walienda kwa gari moja, na walikaa jukwaa moja!

Aziz Ki atumika kuokoa jahazi!
Mwamba kutoka Ouagadougou, Stephen Aziz Ki anatajwa kutumika kuinusuru ndoa ya Kigogo huyo wa Yanga mara baada ya mkewe kushtukia mchezo.

Kama mnavyotujua wabongo huwa tunanyimana michongo ila sio umbea, taarifa zilimfikia mke wa Kigogo ambaye aling’aka na kupelekea ndoa kuwa rehani!

Mwamba Aziz ambaye anatajwa kama mchezaji pendwa zaidi na Kigogo huyo klabuni hapo, ilibidi atumike kutengeneza mapichapicha ya kumpoza mke wa Kigogo.

Ndio yale mliyoona mara wako pamoja wakitokea uwanja wa ndege, wakikumbatiana uwanjani na kwingineko yote yale ni maigizo, Ki hana mahusiano ya aina yoyote na Hamisa bali alitumika kumnusuru boss na mshkaji wake kuepuka dhahma kutoka kwa mke wake.

Penzi hatarini kuvunjika muda wowote!
Baada ya wambea kumsanua mke wa Kigogo, inasemekana wapenzi hao wako hatarini kuachana muda wowote kutokana na suala hilo kumkalia vibaya Kigogo.

Mke wa Kigogo ni dada wa anayetajwa kama mfadhili wa taasisi anakofanyia shughuli zake Kigogo. Hilo linamuweka pabaya zaidi Kigogo kwani endapo akiendelea kutoka na mrembo huyo kimapenzi huwenda kibarua chake kikawa hatarini kwani mfadhili hatoweza kuvumilia kuona dada yake akinyanyasika juu ya penzi hilo la mumewe na Hamisa.

Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!

Hapo kabla alianza kutoka na Kigogo kutokea Simba, japo penzi lao lilikuwa mithili ya upepo kwani halikudumu.

Lakini licha ya kutodumu, penzi hilo lilitumika kama chambo kumpatia Mwijaku ajira Simba.

Chanzo changu nyeti kimesimamia show,

Nifah.
Siku akipanda daladala au mwendokasi amekwisha nikimuona tu sitapoteza muda, fasta nitaingiza mistari iliyoshiba na iliyotukuka!
 
Mobede mliwaji WA ndogo by warumi na tajiri WA Simba ni taka taka KABISA .... Jihan na vee codes ngumu hatari mleta Uzi nifungulie Nifah
Aiseee kumbe sisi wengine tukiongeza jitihada kidogo tu tutaiona pepo? Kumbe Misa nae firauni? Nilikuwa namuonaga innocent! Dah

Sheria ya code huwezi kufunguliwa na aliyeileta, wewe pitia posts jamaa niliyekuwa naongea naye anaweza kukusaidia.
 
Back
Top Bottom