Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

Uzi wa mwenzio unakuja na condition zako mkuu, si ungefungua wako bwana TAI DUME
 
Hamisa kiboko, sio mchezo!
Jamani Hamisa apewe kombe lake, ikishindikana basi hata maua maana anastahili. Ndani ya miaka hii mitatu ameshatoka na vigogo kutoka kwenye klabu zote 2 kubwa nchini, achilia mbali kuzaa na wanaume wawili maarufu na wamiliki wa redio 2 kubwa nchini!


HUU NDO UJINGA MNASIFIANA MBWA NYIE, MNATUHARIBIA KIZAZI. SHENZI KABISA.
 
Siku akipanda daladala au mwendokasi amekwisha nikimuona tu sitapoteza muda, fasta nitaingiza mistari iliyoshiba na iliyotukuka!
 
Mobede mliwaji WA ndogo by warumi na tajiri WA Simba ni taka taka KABISA .... Jihan na vee codes ngumu hatari mleta Uzi nifungulie Nifah
Aiseee kumbe sisi wengine tukiongeza jitihada kidogo tu tutaiona pepo? Kumbe Misa nae firauni? Nilikuwa namuonaga innocent! Dah

Sheria ya code huwezi kufunguliwa na aliyeileta, wewe pitia posts jamaa niliyekuwa naongea naye anaweza kukusaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…