Kwanini wengi mnasema hivi? Shida ni nini?
Sema wewe ya kwako inayokufanya uone hana akili.
120k inatosha kama moreHamisa Ana akili za kudanga ukiwa na ml2 mpaka ml3 unampata Tena mwenyewe Wala hafichii Hawa wengine laki 2 tatu unakula hapo ndio anapowazidi
Watu wengine mnachekesha sana, ni kweli Mkuu inasemekana hivyo.
Wambea tunajua kuconnect dots Hadi ramani inajichora yenyeweπ€£Yani tungekuwa tunashindana na akina Rihanna Forbes huko!
Ila ndio hivyo mwaya, hakuna kisichokuwa na faida sisi wambea tafiti zinasema tutaishi maisha marefu na ni watu wenye furaha.
Mangungu atuachie plizπ€£Kwani una crush nae? π€£π€£π€£
NIfahππ .......naona Warumi amepata mrithi sasaππππMtasema yote ila mkikutana na hao wa kisasa mnavyowanyenyekea sasa?
Ila imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
Kungwi huna baya πKungwi wako nadoboa kidogoπ€£π€£
Babu themaa bana ππWe hujui tu kwanini Wazee tunapenda vipotabo
Usifanye Bibi yako aninyang'anye simu Kwa kuanza kusema Siri iliyojificha Kwa hao watu ππ
Jina lake linatajwa Kwa kuanzia na taaluma yake (Eng.)Kama hujamtaja huyo kigogo kwa jina na upo jf basi siusomi huu Uzi maana itakuwa udaku kama udaku wa FB tuu
KI ni cinema tyuu, ila Mlaji ni Muhandisi.KI nae anapiga tatizo ni ...
Misa ametepeta ni kama nyama ya utumbo iliyolala
Duuh ..KI ni cinema tyuu, ila Mlaji ni Muhandisi.
Ndo maana ake.Duuh ..
Sio 120k ni 20k mkuu ππKuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho π