Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
Huyo ni cha wote mkuuuWewe si chombo ya kijana mzalendo Mwashambwa? Hii comment yako itambubujisha machozi na kutetemeka.
Hiyo elfu 20 si ni hela zetu Wazee za kuvutia Kiko π€Sio 120k ni 20k mkuu ππ
Mkuuuuu mtamu banaπππππIla imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
ππππππKwahiyo Azizi ki kampokonya Eng. Hersi demu wake?π€
Kwahiyo Azizi ki kampokonya Eng. Hersi demu wake?π€
Huyo demu uwa analisha wenzie matangopori ila kwa kuwa wanapenda basi tunakausha tu. πKwahiyo Azizi ki kampokonya Eng. Hersi demu wake?π€
Au wewe unasemaje?ππππππ
Naunga mkono hojaAu wewe unasemaje?
Umealikwa jumatano?Naunga mkono hoja
Nitakuwepo pale πUmealikwa jumatano?
Ushaenda kwa designer kupima suti?Nitakuwepo pale π
Tayari ipo ya laki 3 Kabisa πUshaenda kwa designer kupima suti?
Halooooo mambo yako hukuuuuuKwahiyo Azizi ki kampokonya Eng. Hersi demu wake?π€
πππHalooooo mambo yako hukuuuuu
Nitakuwepo pia naondoka huku j4 na Sgr ya jioniNitakuwepo pale π
Weeeee! Sema kweliNitakuwepo pia naondoka huku j4 na Sgr ya jioni
Kweli dogo...mapemaa nitakutumia pikcha....Weeeee! Sema kweli
Na huko misosi itakua siyo ya nchi hii