Hamisa Mobetto umekosea kuongea na waandishi JKIA

Hamisa Mobetto umekosea kuongea na waandishi JKIA

Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single😂😂😂 nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Walivujisha video za Hamisa akiwa kwa mganga ili kumdhalilisha, Zari alimuita Hamisa ‘low life’.

Jamani muacheni Mungu aitwe Mungu.
 
Hiyo sio shida sana! Kosa ni pale hamisa kama alienda kwa huyu tajiri siku ambazo sio za kushika mimba.hii nafasi ataijutia sana.

Kwa nini ataijutia? Hamisa ni mzuri wa shape ila sura hana hata mimi namzidi.so saa yoyote ataachwa lakini kama kaacha mbegu chilid support lazima ije tu.

Hamisa nakuita mara tatu hope hujapoteza hii chance.
Nimalize kwa kusema hivi,ni bora kufa na maji ya ziwa Victoria kuliko ndoo moja ya maji.
[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ila watu wa Jamhuri mna nini..!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]mmechekaa!
 
Kuachwa si leo, mchizi anampost Hamisa kama hana akili nzuri. Wabongo wanapeleka picha za Hamisa akiwa mwanafunzi kumuaminisha Rick Hamisa anatumia mkorogo. Basi hata wangekodi Mkenya kunyosha English, Ross anasoma English za St Kayumba. Wabongo kwa wivu tumelaaniwa.
Yaass!wabongo kwa wivu tumelaaniwa..tuna choyo sanaa!siku zote ukiwa chini wanakucheka ukifanikiwa wananuna sana na kutaka kukuharibia!
 
Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single[emoji23][emoji23][emoji23] nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
I love you!!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji7][emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji7]
 
Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single[emoji23][emoji23][emoji23] nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Salute nyingi sana kwako.
 
Hiyo sio shida sana! Kosa ni pale hamisa kama alienda kwa huyu tajiri siku ambazo sio za kushika mimba.hii nafasi ataijutia sana.

Kwa nini ataijutia? Hamisa ni mzuri wa shape ila sura hana hata mimi namzidi.so saa yoyote ataachwa lakini kama kaacha mbegu chilid support lazima ije tu.

Hamisa nakuita mara tatu hope hujapoteza hii chance.
Nimalize kwa kusema hivi,ni bora kufa na maji ya ziwa Victoria kuliko ndoo moja ya maji.
Akili za usiku
 
Kuachwa si leo, mchizi anampost Hamisa kama hana akili nzuri. Wabongo wanapeleka picha za Hamisa akiwa mwanafunzi kumuaminisha Rick Hamisa anatumia mkorogo. Basi hata wangekodi Mkenya kunyosha English, Ross anasoma English za St Kayumba. Wabongo kwa wivu tumelaaniwa.

Hivi kuna mtu anaweza kupeleka image mbaya ya mtu mwingine ili aharibu? Anakua anafaidika na nini akifanya hivo
 
Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single😂😂😂 nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Eti huna makuu....?!
 
Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single😂😂😂 nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Mama njoo tuyajenge...!! Naamin hutajutia
 
Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single[emoji23][emoji23][emoji23] nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Nakuja pm mama mwenye status unayotaka umepata...

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha sana kwenye hili vile jamii nzima wanawake kwa wanaume wanavyounga mkono umalaya.
Aog1Vh.jpg
 
Hakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.

Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.

Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.

Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single😂😂😂 nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.

Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Umemaliza kila kitu!!! Thread ifungwe.....
 
Back
Top Bottom