Hamisa na Majizzo warudiana

Hamisa na Majizzo warudiana

Ila huyu mwanamke anaona raha kuharibu mahusiano ya wenzio, kwa hiyo kutembea na Diamond ameona haimtoshi.

Sasa hivi nasikia wapo wote na mzazi mwenzie Majizo hata kwenye birthday ya mtoto wao Fantasy Hamisa alilala kwa Majizo mpaka asubuhi, sasa sijui kwanini wanafanya siri wakati wameshazaa na nasikia wanapenda sana kulala hotel ya Ramada, Hamisa anajificha mwenyewe akikiingia kama mchawi.

Na Majizzo mnafiki wakati analala na Hamisa anajifanya kumpost Lulu na kumsifia wakati nafsi inamsuta, wekeni tu mahusiano yenu hadharani mrudiane mlee mtoto wenu, tatizo wote mmekutana hamjatulia ndio maana mnaogopa kuweka wazi mahusiano yenu.
Waache wazinzi na waasherati, wafanye uzinzi na uasherati wao.
 
Sanaa!uzuri kagutuka mapemaaa jua linawaka before miaka 25
Huwa siamini kama hajafikisha 25, ila kahangaika acha katusue mpaka nigeria alikitembeza mpaka akawa anasemwa na watoto wa mujini kuwa hana bahati.
 
Huwa siamini kama hajafikisha 25, ila kahangaika acha katusue mpaka nigeria alikitembeza mpaka akawa anasemwa na watoto wa mujini kuwa hana bahati.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpk naijeri looh!
Hamisa kamaliza form four 2011 au 2012 kama sikosei yaani hazidi hapo sema watoto wa mjini umalaya wanaanza form one

Dada angu asikuambie mtu hawa wadada wa mjini hakuna msafi au wa kumcheka mwenziwe hata mmojaaa!!!

Wote ndo wale wale!
 
Ila huyu mwanamke anaona raha kuharibu mahusiano ya wenzio, kwa hiyo kutembea na Diamond ameona haimtoshi.

Sasa hivi nasikia wapo wote na mzazi mwenzie Majizo hata kwenye birthday ya mtoto wao Fantasy Hamisa alilala kwa Majizo mpaka asubuhi, sasa sijui kwanini wanafanya siri wakati wameshazaa na nasikia wanapenda sana kulala hotel ya Ramada, Hamisa anajificha mwenyewe akikiingia kama mchawi.

Na Majizzo mnafiki wakati analala na Hamisa anajifanya kumpost Lulu na kumsifia wakati nafsi inamsuta, wekeni tu mahusiano yenu hadharani mrudiane mlee mtoto wenu, tatizo wote mmekutana hamjatulia ndio maana mnaogopa kuweka wazi mahusiano yenu.
Heee binamu! Makubwa haya. Sasa kijana wa Tandale inakuwaje tena. Mi nina wasiwasi hata yule mtoto mdg Dully siyo wa Diamond maana wako tofauti kabisaaa
 
Ndo nikuulize kilichokuwasha ku comment kama umeona haikuhusu, umbea tu ndo unapenda mxieww sura kama chupi ya nandy umbea tu
duh! nandy ya chupi!er chupi ya nandy!
 
Ndio maana mastaa wa kiume wa bongo wanaoa nchi jirani,wanawake wa bongo wa wanagawa ovyo
 
Back
Top Bottom