Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?

Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"

Aliyoandika Kigwangalla kwenye account ya Twitter

Mkiendelea kubisha, kesho ntaenda Serena Press conference nikiwa na nakala ya kadi ya CUF ya Bashiru! Nasisitiza, mlio karibu naye mwambieni aombe radhi na kisha ajiuzulu! Amepuyanga mno kumsema Rais na mfumo mzima kwa hoja za kichochezi zisizo na ushahidi. No one does that.

----
"Hapo nyuma wakulima walilima tu bila kuangalia ubora wa mbegu na ardhi ila Mhe.Rais ametambua umuhimu wa huduma ya afisa ugani ndio maana ameweza kuongeza bajeti kutoka millioni 603 hadi bilioni 15 hii ni kutambua umuhimu wa ugani katika kuongeza au kulipa faida zao shambani "

"Rais samia anafanya mengi sana Mnyonge Mnyongeni ila haki yake mpeni, kuna watu wengi sana ambao wanatumia mwanya huu kupotosha sana Watanzania kwa nia zao mbovu wanazozijua wao "

"Watu wengi sana nyumbani kwa kina Dkt. Bashiru walikuwa wanatorosha kahawa kwenda Uganda ila Mhe.Rais ameboresha utawala bora na kuifungua nchi ndio maana Leo hii mazao yetu yanapata soko zuri ndani na nje ya nchi nakufanya wakulima kunufaika nayo "

" Dkt.Bashiru kwasababu sio mkulima ndio maana hajui kwamba mbolea na pembejeo hapo nyuma zilikuwa bei kubwa ila kwasasa zimeshuka sana, msimu uliopita tulinunua mbolea kiroba kimoja 150,000/= ila mwaka huu kutokana na Ruzuku tunanunua 70,000/= hili bashiru hawezijua kwasababu sio mkulima "

" Kutokana na maelezo aliyotoa Dkt. Bashiru kwa wakulima wadogo wadogo inaonesha dhahili kwa Bashiru hana uelewa na sekta ya kilimo hivyo kabla hajaongea chochote awaulize wakulima na wataalam wa sekta ya kilimo kabla hajaropoka mbele ya umati wa watu "

" Nashangaa sana kuona Dkt.Bashiru kuongea maneno yale ya uwongo kuhusu watawala wakati na yeye alishakuwa mtawala na kupewa nyadhifa mbalimbali serikalini unawezaje sema watawala wake na yeye ni sehem moja ya watawala "

" Dkt.Bashiru alishawahi kuwa mwanachama wa CUF hapo nyuma na alivyokuja CCM hatukuona akirudisha kadi yake wala kuichoma na kwasababu aliteuliwa na kiongozi wetu mkuu kuwa katibu tuliheshimu mamlaka , sasa kama anahisi sio mwenzetu aseme tujua tunamweka kundi lipi na sio kutuchanganya kwa maneno ya uwongo "

" Dkt.Bashiru kipindi cha nyuma akiwa katibu mkuu alishawahi kumshambulia Waziri mkuu mbele ya kikao cha wabunge kitu ambacho sio sawa sisi tulishangaa sana ila tuliheshimu Mamlaka aliyopewa, sasa yeye kama hawezi kuheshimu Mamlaka iliyopo sasa tutamfundisha namna ya kuheshimu na kumkumbusha aliyofanya yeye kipindi cha nyuma"

" Tunashangaa sana kumwona Dkt.Bashiru akikasirika sisi kumsifia Rais wakati anafanya mambo mazuri wakati yeye ndiye aliyetufundisha kumsifia Rais akifanya mazuri, sasa kama yeye anaumia wakati huu ni bora akae kimya tu na sio kutoka hadharani kuongea maneno ya uchochezi "

"Kama Dkt.Bashiru atakuwa anajitambua basi ajitadhimini, aombe radhi kwa Watanzania pia aandike barua ya kuachia nafasi ya ubunge wapewe watu wengine wanaostahiri na yeye aendelee kufanya harakati huko nje "
Sijawahi kuona mtu mwenye akili za mbwa Koko kama huyu mnyamwezi alielelewa na mama hadi ukubwani Hamis wa kufoji, ana kiu na uwaziri, status imeshuka sana.
 
Issue niii... mbona bwana Kakurwa alikua hakosoi harakati za Jiwe.
Nafiri hoja ujibiwa kwa hoja sio kwa hoja isiyokuwepo.Ukienda mahakamani ukaambiwa umeiba na jitetee.Ww unasema jirani yangu nae aliniibia Jana.Utakuwa haujajibu hoja.
 
Kigwangala anachowaza kichwani ni teuzi tuu, yupo radhi kufanya chochote ili akumbukwe.
 
Kigwangala ni mganga wa kienyeji, ukiacha jina feki analotumia hata mwanae alimtoa kafara
 
Hatutaki tena tena ule upuuzi tafadhalini, fanyeni mfanyavyo ila hamrudi tena mjueeee
 
Kwahio CHAMA chake hakifuati hata Kanuni walizojiwekea ?

Huu ni Utetezi au kuendelea kujipaka Matope ? Huenda Bashiru sio Malaika ila kwenye Kundi la Shetani huenda akawa ahueni; au huenda na yeye ni Shetani ndio maana kila mara tuangalie Hoja iliyopo Mezani na sio Mtoa Hoja....

Siwezi nikaziba masikio kwa alert ya Ndugai kuhusu kuuzwa sababu mtoa Kauli na yeye ni Dalali / Muuzaji
 
Hivi kazi ya mbunge ni ipi ?.kutetea serikali au kutetea wananchi?!.kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?
Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"

Aliyoandika Kigwangalla kwenye account ya Twitter

Mkiendelea kubisha, kesho ntaenda Serena Press conference nikiwa na nakala ya kadi ya CUF ya Bashiru! Nasisitiza, mlio karibu naye mwambieni aombe radhi na kisha ajiuzulu! Amepuyanga mno kumsema Rais na mfumo mzima kwa hoja za kichochezi zisizo na ushahidi. No one does that.

----
"Hapo nyuma wakulima walilima tu bila kuangalia ubora wa mbegu na ardhi ila Mhe.Rais ametambua umuhimu wa huduma ya afisa ugani ndio maana ameweza kuongeza bajeti kutoka millioni 603 hadi bilioni 15 hii ni kutambua umuhimu wa ugani katika kuongeza au kulipa faida zao shambani "

"Rais samia anafanya mengi sana Mnyonge Mnyongeni ila haki yake mpeni, kuna watu wengi sana ambao wanatumia mwanya huu kupotosha sana Watanzania kwa nia zao mbovu wanazozijua wao "

"Watu wengi sana nyumbani kwa kina Dkt. Bashiru walikuwa wanatorosha kahawa kwenda Uganda ila Mhe.Rais ameboresha utawala bora na kuifungua nchi ndio maana Leo hii mazao yetu yanapata soko zuri ndani na nje ya nchi nakufanya wakulima kunufaika nayo "

" Dkt.Bashiru kwasababu sio mkulima ndio maana hajui kwamba mbolea na pembejeo hapo nyuma zilikuwa bei kubwa ila kwasasa zimeshuka sana, msimu uliopita tulinunua mbolea kiroba kimoja 150,000/= ila mwaka huu kutokana na Ruzuku tunanunua 70,000/= hili bashiru hawezijua kwasababu sio mkulima "

" Kutokana na maelezo aliyotoa Dkt. Bashiru kwa wakulima wadogo wadogo inaonesha dhahili kwa Bashiru hana uelewa na sekta ya kilimo hivyo kabla hajaongea chochote awaulize wakulima na wataalam wa sekta ya kilimo kabla hajaropoka mbele ya umati wa watu "

" Nashangaa sana kuona Dkt.Bashiru kuongea maneno yale ya uwongo kuhusu watawala wakati na yeye alishakuwa mtawala na kupewa nyadhifa mbalimbali serikalini unawezaje sema watawala wake na yeye ni sehem moja ya watawala "

" Dkt.Bashiru alishawahi kuwa mwanachama wa CUF hapo nyuma na alivyokuja CCM hatukuona akirudisha kadi yake wala kuichoma na kwasababu aliteuliwa na kiongozi wetu mkuu kuwa katibu tuliheshimu mamlaka , sasa kama anahisi sio mwenzetu aseme tujua tunamweka kundi lipi na sio kutuchanganya kwa maneno ya uwongo "

" Dkt.Bashiru kipindi cha nyuma akiwa katibu mkuu alishawahi kumshambulia Waziri mkuu mbele ya kikao cha wabunge kitu ambacho sio sawa sisi tulishangaa sana ila tuliheshimu Mamlaka aliyopewa, sasa yeye kama hawezi kuheshimu Mamlaka iliyopo sasa tutamfundisha namna ya kuheshimu na kumkumbusha aliyofanya yeye kipindi cha nyuma"

" Tunashangaa sana kumwona Dkt.Bashiru akikasirika sisi kumsifia Rais wakati anafanya mambo mazuri wakati yeye ndiye aliyetufundisha kumsifia Rais akifanya mazuri, sasa kama yeye anaumia wakati huu ni bora akae kimya tu na sio kutoka hadharani kuongea maneno ya uchochezi "

"Kama Dkt.Bashiru atakuwa anajitambua basi ajitadhimini, aombe radhi kwa Watanzania pia aandike barua ya kuachia nafasi ya ubunge wapewe watu wengine wanaostahiri na yeye aendelee kufanya harakati huko nje "
 
Bashiru amaeona kinachoendelea labda ni ujingauninga tu,kawa karibu na JPM,kashika nyadhifa nzito,anafanya comparison ya JPM na SHS,anaona machawa wanazingua sana.,ndiyomaana kasema hivyo alivyosema.Hawamuwezi kwa lolote,atarudi kufundisha Kama kawaida,yeye siyo kama ambao siasa kwao ni kila kitu.
Sidhani kama huko chuo kikuu watampokea tena maana nako wamejaa makada watupu
 
Sidhani kama huko chuo kikuu watampokea tena maana nako wamejaa makada watupu
Ataenda hata nje,au atajikita kwenye uchambuzi wa masuala ya siasa.Bashiru wa kabla ya kuingia madarakani,ni tofauti na huyu wa sasa,pesa anayo ya waziwazi na ya sirini.
 

Baada ya kukosa uteuzi kwenye Serikali ya Samia Suluhu Bwana Hamis Kigwangalla ameamua kuonyesha yupo bega kwa bega na Samia Suluhu ili apate uteuzi. Juzi kaitisha mkutano na waandishi wa habari kumpinga na kumkemea Bashiru ili aweze kuonekana. Hamis Kigwangalla anabaki kuwa msomi wa hovyo mwenye kashfa nyingi za ufisadi toka akiwa Waziri wa Maliasili na Utalii .Benchi limemchosha sasa ameona ni bora aanze kumlamba matako aliyepo madarakani huenda akapata uwaziri.​

 

Attachments

  • DkAbENAXcAYMqrW.jpg
    DkAbENAXcAYMqrW.jpg
    68.2 KB · Views: 2
  • ass-kisser.jpg
    ass-kisser.jpg
    15.4 KB · Views: 1
  • asskisser.jpg
    asskisser.jpg
    15.2 KB · Views: 1
Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?

Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"

Aliyoandika Kigwangalla kwenye account ya Twitter

Mkiendelea kubisha, kesho ntaenda Serena Press conference nikiwa na nakala ya kadi ya CUF ya Bashiru! Nasisitiza, mlio karibu naye mwambieni aombe radhi na kisha ajiuzulu! Amepuyanga mno kumsema Rais na mfumo mzima kwa hoja za kichochezi zisizo na ushahidi. No one does that.

----
"Hapo nyuma wakulima walilima tu bila kuangalia ubora wa mbegu na ardhi ila Mhe.Rais ametambua umuhimu wa huduma ya afisa ugani ndio maana ameweza kuongeza bajeti kutoka millioni 603 hadi bilioni 15 hii ni kutambua umuhimu wa ugani katika kuongeza au kulipa faida zao shambani "

"Rais samia anafanya mengi sana Mnyonge Mnyongeni ila haki yake mpeni, kuna watu wengi sana ambao wanatumia mwanya huu kupotosha sana Watanzania kwa nia zao mbovu wanazozijua wao "

"Watu wengi sana nyumbani kwa kina Dkt. Bashiru walikuwa wanatorosha kahawa kwenda Uganda ila Mhe.Rais ameboresha utawala bora na kuifungua nchi ndio maana Leo hii mazao yetu yanapata soko zuri ndani na nje ya nchi nakufanya wakulima kunufaika nayo "

" Dkt.Bashiru kwasababu sio mkulima ndio maana hajui kwamba mbolea na pembejeo hapo nyuma zilikuwa bei kubwa ila kwasasa zimeshuka sana, msimu uliopita tulinunua mbolea kiroba kimoja 150,000/= ila mwaka huu kutokana na Ruzuku tunanunua 70,000/= hili bashiru hawezijua kwasababu sio mkulima "

" Kutokana na maelezo aliyotoa Dkt. Bashiru kwa wakulima wadogo wadogo inaonesha dhahili kwa Bashiru hana uelewa na sekta ya kilimo hivyo kabla hajaongea chochote awaulize wakulima na wataalam wa sekta ya kilimo kabla hajaropoka mbele ya umati wa watu "

" Nashangaa sana kuona Dkt.Bashiru kuongea maneno yale ya uwongo kuhusu watawala wakati na yeye alishakuwa mtawala na kupewa nyadhifa mbalimbali serikalini unawezaje sema watawala wake na yeye ni sehem moja ya watawala "

" Dkt.Bashiru alishawahi kuwa mwanachama wa CUF hapo nyuma na alivyokuja CCM hatukuona akirudisha kadi yake wala kuichoma na kwasababu aliteuliwa na kiongozi wetu mkuu kuwa katibu tuliheshimu mamlaka , sasa kama anahisi sio mwenzetu aseme tujua tunamweka kundi lipi na sio kutuchanganya kwa maneno ya uwongo "

" Dkt.Bashiru kipindi cha nyuma akiwa katibu mkuu alishawahi kumshambulia Waziri mkuu mbele ya kikao cha wabunge kitu ambacho sio sawa sisi tulishangaa sana ila tuliheshimu Mamlaka aliyopewa, sasa yeye kama hawezi kuheshimu Mamlaka iliyopo sasa tutamfundisha namna ya kuheshimu na kumkumbusha aliyofanya yeye kipindi cha nyuma"

" Tunashangaa sana kumwona Dkt.Bashiru akikasirika sisi kumsifia Rais wakati anafanya mambo mazuri wakati yeye ndiye aliyetufundisha kumsifia Rais akifanya mazuri, sasa kama yeye anaumia wakati huu ni bora akae kimya tu na sio kutoka hadharani kuongea maneno ya uchochezi "

"Kama Dkt.Bashiru atakuwa anajitambua basi ajitadhimini, aombe radhi kwa Watanzania pia aandike barua ya kuachia nafasi ya ubunge wapewe watu wengine wanaostahiri na yeye aendelee kufanya harakati huko nje "
Kingwangwala kawa chawa anadhani mama atampa tena ulaji wa pori kwa pori, alishaonja asali, si ajabu Mo alimpiga za uso, Kingwangwala tapeli na mla rushwa alitumia mamilioni ya pesa pale wizara ya utalii kwa kujifanya ana promote utalii, badala ya mabango kuweka vivutio yeye akaweka lisula lake zito, leo hii bila soni nae anajifanya muadilifu na mtiifu kwa mamlaka! huyu si ndie aligombana na hata katibu mkuu wake kwa ulafi wake.
 
Back
Top Bottom