Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?

Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"

Aliyoandika Kigwangalla kwenye account ya Twitter


Mkiendelea kubisha, kesho ntaenda Serena Press conference nikiwa na nakala ya kadi ya CUF ya Bashiru! Nasisitiza, mlio karibu naye mwambieni aombe radhi na kisha ajiuzulu! Amepuyanga mno kumsema Rais na mfumo mzima kwa hoja za kichochezi zisizo na ushahidi. No one does that
Pia aitishe press conference kuhusu hizi rushwa zinazotolewa hadharani na wagombea wa CCM hivi sasa huko mikoani, awataje hao wanaotoa rushwa huku wakiwa na kadi za CCM.

Vv
 
Bashiru kawachapa kwenye mshono.

Kwa ujasiri ule lazima ni kitu planned na hili linalochezwa hapa ni segere na wanaolicheza wapo ambao wapo upande wa Bashiru.

Wanasiasa ni wanafiki sana.
 

Dr. Hamisi Kigwangalla
@HKigwangalla
"Mkiendelea kubisha, kesho ntaenda Serena Press conference nikiwa na nakala ya kadi ya CUF ya Bashiru! Nasisitiza, mlio karibu naye mwambieni aombe radhi na kisha ajiuzulu! Amepuyanga mno kumsema Rais na mfumo mzima kwa hoja za kichochezi zisizo na ushahidi. No one does that!"

Bashiru unashauriwa kuomba poo, umeshakuwa mpira wa kona!
 
NUKUU ZA MHE.DR. HAMISI KIGWANGALLA, MBUNGE WA NZEGA, AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MUDA HUU KUPITIA CHOMBO CHA HABARI CHA MANYUNYU TV LEO MCHANA TAREHE 21,NOVEMBA 2022

"Hapo nyuma wakulima walilima tu bila kuangalia ubora wa mbegu na ardhi ila Mhe.Rais ametambua umuhimu wa huduma ya afisa ugani ndio maana ameweza kuongeza bajeti kutoka millioni 603 hadi bilioni 15 hii ni kutambua umuhimu wa ugani katika kuongeza au kulipa faida zao shambani "

"Rais samia anafanya mengi sana Mnyonge Mnyongeni ila haki yake mpeni, kuna watu wengi sana ambao wanatumia mwanya huu kupotosha sana Watanzania kwa nia zao mbovu wanazozijua wao "

"Watu wengi sana nyumbani kwa kina Dkt. Bashiru walikuwa wanatorosha kahawa kwenda Uganda ila Mhe.Rais ameboresha utawala bora na kuifungua nchi ndio maana Leo hii mazao yetu yanapata soko zuri ndani na nje ya nchi nakufanya wakulima kunufaika nayo "

" Dkt.Bashiru kwasababu sio mkulima ndio maana hajui kwamba mbolea na pembejeo hapo nyuma zilikuwa bei kubwa ila kwasasa zimeshuka sana, msimu uliopita tulinunua mbolea kiroba kimoja 150,000/= ila mwaka huu kutokana na Ruzuku tunanunua 70,000/= hili bashiru hawezijua kwasababu sio mkulima "

" Kutokana na maelezo aliyotoa Dkt. Bashiru kwa wakulima wadogo wadogo inaonesha dhahili kwa Bashiru hana uelewa na sekta ya kilimo hivyo kabla hajaongea chochote awaulize wakulima na wataalam wa sekta ya kilimo kabla hajaropoka mbele ya umati wa watu "

" Nashangaa sana kuona Dkt.Bashiru kuongea maneno yale ya uwongo kuhusu watawala wakati na yeye alishakuwa mtawala na kupewa nyadhifa mbalimbali serikalini unawezaje sema watawala wake na yeye ni sehem moja ya watawala "

" Dkt.Bashiru alishawahi kuwa mwanachama wa CUF hapo nyuma na alivyokuja CCM hatukuona akirudisha kadi yake wala kuichoma na kwasababu aliteuliwa na kiongozi wetu mkuu kuwa katibu tuliheshimu mamlaka , sasa kama anahisi sio mwenzetu aseme tujua tunamweka kundi lipi na sio kutuchanganya kwa maneno ya uwongo "

" Dkt.Bashiru kipindi cha nyuma akiwa katibu mkuu alishawahi kumshambulia Waziri mkuu mbele ya kikao cha wabunge kitu ambacho sio sawa sisi tulishangaa sana ila tuliheshimu Mamlaka aliyopewa, sasa yeye kama hawezi kuheshimu Mamlaka iliyopo sasa tutamfundisha namna ya kuheshimu na kumkumbusha aliyofanya yeye kipindi cha nyuma"

" Tunashangaa sana kumwona Dkt.Bashiru akikasirika sisi kumsifia Rais wakati anafanya mambo mazuri wakati yeye ndiye aliyetufundisha kumsifia Rais akifanya mazuri, sasa kama yeye anaumia wakati huu ni bora akae kimya tu na sio kutoka hadharani kuongea maneno ya uchochezi "

"Kama Dkt.Bashiru atakuwa anajitambua basi ajitadhimini, aombe radhi kwa Watanzania pia aandike barua ya kuachia nafasi ya ubunge wapewe watu wengine wanaostahiri na yeye aendelee kufanya harakati huko nje "
 

Attachments

  • IMG-20221121-WA0513.jpg
    IMG-20221121-WA0513.jpg
    125 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0512.jpg
    IMG-20221121-WA0512.jpg
    106.6 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0507.jpg
    IMG-20221121-WA0507.jpg
    119.9 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0511.jpg
    IMG-20221121-WA0511.jpg
    122.3 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0510.jpg
    IMG-20221121-WA0510.jpg
    125.4 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0506.jpg
    IMG-20221121-WA0506.jpg
    116.1 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0503.jpg
    IMG-20221121-WA0503.jpg
    134.6 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0508.jpg
    IMG-20221121-WA0508.jpg
    129.7 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0509.jpg
    IMG-20221121-WA0509.jpg
    132.3 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0502.jpg
    IMG-20221121-WA0502.jpg
    123.1 KB · Views: 1
  • IMG-20221121-WA0504.jpg
    IMG-20221121-WA0504.jpg
    124.7 KB · Views: 1
NUKUU ZA MHE.DR. HAMISI KIGWANGALLA, MBUNGE WA NZEGA, AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MUDA HUU KUPITIA CHOMBO CHA HABARI CHA MANYUNYU TV LEO MCHANA TAREHE 21,NOVEMBA 2022

"Hapo nyuma wakulima walilima tu bila kuangalia ubora wa mbegu na ardhi ila Mhe.Rais ametambua umuhimu wa huduma ya afisa ugani ndio maana ameweza kuongeza bajeti kutoka millioni 603 hadi bilioni 15 hii ni kutambua umuhimu wa ugani katika kuongeza au kulipa faida zao shambani "

"Rais samia anafanya mengi sana Mnyonge Mnyongeni ila haki yake mpeni, kuna watu wengi sana ambao wanatumia mwanya huu kupotosha sana Watanzania kwa nia zao mbovu wanazozijua wao "

"Watu wengi sana nyumbani kwa kina Dkt. Bashiru walikuwa wanatorosha kahawa kwenda Uganda ila Mhe.Rais ameboresha utawala bora na kuifungua nchi ndio maana Leo hii mazao yetu yanapata soko zuri ndani na nje ya nchi nakufanya wakulima kunufaika nayo "

" Dkt.Bashiru kwasababu sio mkulima ndio maana hajui kwamba mbolea na pembejeo hapo nyuma zilikuwa bei kubwa ila kwasasa zimeshuka sana, msimu uliopita tulinunua mbolea kiroba kimoja 150,000/= ila mwaka huu kutokana na Ruzuku tunanunua 70,000/= hili bashiru hawezijua kwasababu sio mkulima "

" Kutokana na maelezo aliyotoa Dkt. Bashiru kwa wakulima wadogo wadogo inaonesha dhahili kwa Bashiru hana uelewa na sekta ya kilimo hivyo kabla hajaongea chochote awaulize wakulima na wataalam wa sekta ya kilimo kabla hajaropoka mbele ya umati wa watu "

" Nashangaa sana kuona Dkt.Bashiru kuongea maneno yale ya uwongo kuhusu watawala wakati na yeye alishakuwa mtawala na kupewa nyadhifa mbalimbali serikalini unawezaje sema watawala wake na yeye ni sehem moja ya watawala "

" Dkt.Bashiru alishawahi kuwa mwanachama wa CUF hapo nyuma na alivyokuja CCM hatukuona akirudisha kadi yake wala kuichoma na kwasababu aliteuliwa na kiongozi wetu mkuu kuwa katibu tuliheshimu mamlaka , sasa kama anahisi sio mwenzetu aseme tujua tunamweka kundi lipi na sio kutuchanganya kwa maneno ya uwongo "

" Dkt.Bashiru kipindi cha nyuma akiwa katibu mkuu alishawahi kumshambulia Waziri mkuu mbele ya kikao cha wabunge kitu ambacho sio sawa sisi tulishangaa sana ila tuliheshimu Mamlaka aliyopewa, sasa yeye kama hawezi kuheshimu Mamlaka iliyopo sasa tutamfundisha namna ya kuheshimu na kumkumbusha aliyofanya yeye kipindi cha nyuma"

" Tunashangaa sana kumwona Dkt.Bashiru akikasirika sisi kumsifia Rais wakati anafanya mambo mazuri wakati yeye ndiye aliyetufundisha kumsifia Rais akifanya mazuri, sasa kama yeye anaumia wakati huu ni bora akae kimya tu na sio kutoka hadharani kuongea maneno ya uchochezi "

"Kama Dkt.Bashiru atakuwa anajitambua basi ajitadhimini, aombe radhi kwa Watanzania pia aandike barua ya kuachia nafasi ya ubunge wapewe watu wengine wanaostahiri na yeye aendelee kufanya harakati huko nje "

Naomba muwashughulikie na wale ambao walikuwa wanapiga makofi

Nadhan wale nao watakuwa wanaungana na bashiru kutomwelewa mama

Au na wao hawaoni mama akiupiga mwingi that's why wakawa wanapiga makofi
 
TABIANCHI, KILIMO NA UZALISHAJI WA CHAKULA CHA KUTOSHA



Mapinduzi ya kibajeti toka shilingi 250bn mpaka hii ya shilingi 950bn sasa 2022 inaonesha nia ya dhati kutaka sekta ya kilimo ilete mageuzi makubwa
 
Mjibuni hoja yake...acheni uoga...mtu akisema ukweli atolewe...

Tumeumbwa kuuliza maswali na kujibiwa ili kutatua matatizo...sasa nyie watu gani msiotaka kuulizwa....
 
Kutesa kwa zamu, chawa wa mwendakuzimu hawana budi kuonja joto ya jiwe maana walishiriki kikamilifu kwenye udhalim uliotendwa na yule shetani aliyejivika mwili wa binadamu [emoji3525][emoji3525][emoji3525]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi yani uchawa umeharibu hii nchi kabisa.
Sema kiwango hiki cha uchawa wa namna hii kimeanza kwa jpm huu ni mwendelezo wa kile alichoanzisha na kitaitafuna nchi maana kila awamu machawa watakuwa wanasifu na hawataki mtu kuhoji chochote
 

Dr. Hamisi Kigwangalla
@HKigwangalla
"Mkiendelea kubisha, kesho ntaenda Serena Press conference nikiwa na nakala ya kadi ya CUF ya Bashiru! Nasisitiza, mlio karibu naye mwambieni aombe radhi na kisha ajiuzulu! Amepuyanga mno kumsema Rais na mfumo mzima kwa hoja za kichochezi zisizo na ushahidi. No one does that!"

Bashiru unashauriwa kuomba poo, umeshakuwa mpira wa kona!
Kigwangalla among the TRASH on Tanzania’s Polu-tics!

KIGWANGALA mjinga mmoja alietumia nafasi ya uteuzi vibaya!

KIGWANGALA mjinga mmoja aliyeshindwa majukumu na kuendekeza Majungu wizarani!

KIGWANGALA mjinga mmoja anayeendekeza uhasama Bungeni,mpaka anapigwa Pin na Spika!

KIGWANGALA hana hata aibu kuropoka upumbavu wake?

Kweli CCM mliwaua wazee wenye Busara ili mbaki wahuni tupu!
IMG-20221104-WA0008.jpg
20220602_080051_remastered.jpg
 
Hatimaye chawa+ wanamshambulia chawa mwenzao kutoka kila upande. Sisi wengine tunaendelea kuwafuatilia kwa ukaribu, ili kujua mwisho wake.
 
NUKUU ZA MHE.DR. HAMISI KIGWANGALLA, MBUNGE WA NZEGA, AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MUDA HUU KUPITIA CHOMBO CHA HABARI CHA MANYUNYU TV LEO MCHANA TAREHE 21,NOVEMBA 2022

"Hapo nyuma wakulima walilima tu bila kuangalia ubora wa mbegu na ardhi ila Mhe.Rais ametambua umuhimu wa huduma ya afisa ugani ndio maana ameweza kuongeza bajeti kutoka millioni 603 hadi bilioni 15 hii ni kutambua umuhimu wa ugani katika kuongeza au kulipa faida zao shambani "

"Rais samia anafanya mengi sana Mnyonge Mnyongeni ila haki yake mpeni, kuna watu wengi sana ambao wanatumia mwanya huu kupotosha sana Watanzania kwa nia zao mbovu wanazozijua wao "

"Watu wengi sana nyumbani kwa kina Dkt. Bashiru walikuwa wanatorosha kahawa kwenda Uganda ila Mhe.Rais ameboresha utawala bora na kuifungua nchi ndio maana Leo hii mazao yetu yanapata soko zuri ndani na nje ya nchi nakufanya wakulima kunufaika nayo "

" Dkt.Bashiru kwasababu sio mkulima ndio maana hajui kwamba mbolea na pembejeo hapo nyuma zilikuwa bei kubwa ila kwasasa zimeshuka sana, msimu uliopita tulinunua mbolea kiroba kimoja 150,000/= ila mwaka huu kutokana na Ruzuku tunanunua 70,000/= hili bashiru hawezijua kwasababu sio mkulima "

" Kutokana na maelezo aliyotoa Dkt. Bashiru kwa wakulima wadogo wadogo inaonesha dhahili kwa Bashiru hana uelewa na sekta ya kilimo hivyo kabla hajaongea chochote awaulize wakulima na wataalam wa sekta ya kilimo kabla hajaropoka mbele ya umati wa watu "

" Nashangaa sana kuona Dkt.Bashiru kuongea maneno yale ya uwongo kuhusu watawala wakati na yeye alishakuwa mtawala na kupewa nyadhifa mbalimbali serikalini unawezaje sema watawala wake na yeye ni sehem moja ya watawala "

" Dkt.Bashiru alishawahi kuwa mwanachama wa CUF hapo nyuma na alivyokuja CCM hatukuona akirudisha kadi yake wala kuichoma na kwasababu aliteuliwa na kiongozi wetu mkuu kuwa katibu tuliheshimu mamlaka , sasa kama anahisi sio mwenzetu aseme tujua tunamweka kundi lipi na sio kutuchanganya kwa maneno ya uwongo "

" Dkt.Bashiru kipindi cha nyuma akiwa katibu mkuu alishawahi kumshambulia Waziri mkuu mbele ya kikao cha wabunge kitu ambacho sio sawa sisi tulishangaa sana ila tuliheshimu Mamlaka aliyopewa, sasa yeye kama hawezi kuheshimu Mamlaka iliyopo sasa tutamfundisha namna ya kuheshimu na kumkumbusha aliyofanya yeye kipindi cha nyuma"

" Tunashangaa sana kumwona Dkt.Bashiru akikasirika sisi kumsifia Rais wakati anafanya mambo mazuri wakati yeye ndiye aliyetufundisha kumsifia Rais akifanya mazuri, sasa kama yeye anaumia wakati huu ni bora akae kimya tu na sio kutoka hadharani kuongea maneno ya uchochezi "

"Kama Dkt.Bashiru atakuwa anajitambua basi ajitadhimini, aombe radhi kwa Watanzania pia aandike barua ya kuachia nafasi ya ubunge wapewe watu wengine wanaostahiri na yeye aendelee kufanya harakati huko nje "
Huyu Kigwangalla! ni mchawi asiye na haya
JamiiForums-1072075634.jpg
 
Back
Top Bottom