Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

Hatujui kadi yake ya Chama Cha Mapinduzi aliichukuwa lini, hatujui hata kadi yake ya CUF aliirudisha lini?

Tulishangaa tu ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM, lakini tuliheshimu mamlaka iliyomteua, sasa tulitegemea awe na Shukrani"
Naunga mkono hoja.
Bashiru awe na adabu!
 
Sijawahi kutembelea mitaa ya manzese sasa jana si nikasema ngoja nitembee nipajue vizuri, yaani CCM walaaniwe hakyanani
 
..Je, Dr.Bashiru atatetea kauli na msimamo wake?

..Is he ready to pay the price and stand for what he said and believes?

..Gharama ninayoizungumza ni kushughulikiwa na dola kama inavyofanyika kwa wapinzani. Bashiru yuko tayari?

Cc Erythrocyte
Nimekosa , nimekosa mimi , nimekosa sana .
 
..Je, Dr.Bashiru atatetea kauli na msimamo wake?

..Is he ready to pay the price and stand for what he said and believes?

..Gharama ninayoizungumza ni kushughulikiwa na dola kama inavyofanyika kwa wapinzani. Bashiru yuko tayari?

Cc Erythrocyte

Usikremu maisha.....
 

Attachments

  • FB_IMG_1659415768288.jpg
    FB_IMG_1659415768288.jpg
    7.9 KB · Views: 2
Hoja ya Bashiru ilikua straight kwamba "hakuna sababu ya kumsifia mtu anapotimiza wajibu wake na haswa inapokua haki yako ya msingi."
mbona magu mlikua mnamsifi alipo kua anatimiza wajibu wake, leo hamtaki, acheni unafiki nyie wanaccm, yote kwa yote msurubishane tu
 
Kulea vijana kufanya fitina dhidi ya nchi Yao ni jambo BAYA. Tubadilike.
 
Write your reply...Umasikini hautakaa uishe nchi hii kukosolewa nako ni hatua ya kutuletea maendeleo sasa mama akisifiwa tu kama kuna sehemu upepo unaingia anajuaje? acheni kujipendekeza kwingi.....praising praising...
 
Back
Top Bottom