Hamisi Kigwangalla: Siasa na Uongozi ni Vita, niliomba kujiuzulu mara mbili, bila kulindana mnajikuta mnamalizana

Hamisi Kigwangalla: Siasa na Uongozi ni Vita, niliomba kujiuzulu mara mbili, bila kulindana mnajikuta mnamalizana

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kumbe Hamisi Kigwangalla aliwahi kuandika barua za kujiuzulu Uwaziri mara mbili akiwa Wizara ya Maliasili, akidai sababu ni vitu vya kipuuzi na masuala ya umbeya. Barua ya kwanza ilichanwa mbele yake, na ya pili hajui iliishia wapi, lakini hakuondolewa baada ya vikao kadhaa.

"Mimi nimewahi kuandika barua za kujiuzulu mara mbili, sababu ni vitu vya kipuuzi. Ya kwanza ilichanwa mbele yangu na kuambiwa, 'nenda kafanye kazi.' Sababu kubwa mara zote mbili ilikuwa uwongo. Bila kulindana, mnajikuta mnamalizana. Wazee wa zamani walikuwa wanalindana. Kwenye serikali, siasa na uongozi, watu wanaumizana sana, wanapigana shoti sana. Mpaka ikutokee ndio utajua. Mimi tangu ianze kunitokea, nimepunguza sana ku-judge watu".

 
Huyu ndo aliambiwa alikuwa anachua madem zake wakiwemo bongo movie dadaz kwenda kula bata kwa gharama za office pia walikuwa wanatumia ndege za wizarq
 
Back
Top Bottom