Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

This was a difficult / was an impossible move to even imagine. Can Majay pay B12 more money and marupurupu than clouds media ?? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji848]

Au ndo zile “jiji zito hili??”.
Looking forward to see clouds fm without vitamin B.
 
Huwa mnapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha yao wakati maisha yenu binafsi mnashindwa kuyapangilia
 
Ukiangalia hii clip ndio utajua aliemuondoa kazini BDozen ndio huyo aliye zuia nyimbo za Diamond zisisipigwe na hiyo kauli aliitoa wiki iliyopita.

Sababu hata yeye mwenyewe alisema "nipo tayari kufukuzwa kazi"
Nisaidie kumbaini mkuu

Sijammanya bado
 
Dunia inaenda kasi sana, jana tu leo kila kitu kishachange
 
Alie achiwa viatu vya Ruge Naona vinampwaya Hakika Clouds imerudi hatua nyingi nyuma sanaa isije kuwa ndo tutaendelea kuwa sahau [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…