Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuchafua cv za watu.Kamfata bebe,
[emoji2380]
Hastahili kua na bebe?Acha kuchafua cv za watu.
Huwa mnapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha yao wakati maisha yenu binafsi mnashindwa kuyapangiliaClouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Ukiangalia hii clip ndio utajua aliemuondoa kazini BDozen ndio huyo aliye zuia nyimbo za Diamond zisisipigwe na hiyo kauli aliitoa wiki iliyopita.Kwani Clouds anaezuia nyimbo za Diamond zisipigwe ni nani ?
Ataenda WasafiNatabiri hatakuwa na muda mrefu Efm, atarudi Clouds tena
Nisaidie kumbaini mkuuUkiangalia hii clip ndio utajua aliemuondoa kazini BDozen ndio huyo aliye zuia nyimbo za Diamond zisisipigwe na hiyo kauli aliitoa wiki iliyopita.
Sababu hata yeye mwenyewe alisema "nipo tayari kufukuzwa kazi"
Kono la jini generotaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko akapewe kipindi cha singeli halafu aalikwe lajini afanye naye mahojiano huku kashavuta bange na panga lake kiunoni
Umeanza ulozi mapemaAnamjua mwenyewe.
[emoji2380]