Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Yah naona Adi fetty nae karudi
 

sawa sudi tumekusikia
 
Ila XXL anayeinogesha ni Mchomvu yule jamaa amefit sana kwenye kile kipindi B dozen ni wakawaida sana sema kwa sababu yeye ndiye mwenye kipindi imembeba.

Nimeona hata Shilawadu yule jamaa Qwisa naye hayupo badala yake wamemuweka Mwijaku.
Sasa kama mmiliki wa show ni Dozen itakuwaje kama kaenda Efm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…