Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Hamisi Mandi (B 12) rasmi E FM kutoka Clouds FM

Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
Yah naona Adi fetty nae karudi
 
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.

sawa sudi tumekusikia
 
Ila XXL anayeinogesha ni Mchomvu yule jamaa amefit sana kwenye kile kipindi B dozen ni wakawaida sana sema kwa sababu yeye ndiye mwenye kipindi imembeba.

Nimeona hata Shilawadu yule jamaa Qwisa naye hayupo badala yake wamemuweka Mwijaku.
Sasa kama mmiliki wa show ni Dozen itakuwaje kama kaenda Efm
 
Back
Top Bottom