Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah naona Adi fetty nae karudiClouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa clouds rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
OohKuna kauli jamaa aliitoa nikajua tu watamfukuza
Aliondoka Dj Fetty sasa karudi. Clouds ipo
Akaondoka Gadna na sasa amerudi. Clouds ipo
XXL kuna vipaji halisi pale. Yule dogo Perfect ataziba pengo lake..
Perfect hawezi hata kidogo..hapo wamchukue Sam misago akae na Kenedy wasukume kipindi
Clouds ipo na itaendelea kuwepo bila hata dozen ukisikiliza XXL anayefanya kipindi kinoge pale ni Mchomvu kina bdozen wamefunikwa na mchomvu na ukifuatilia siku mchomvu asipokuwepo show inapoa sana kwa ubunifu Clouds haitegemei kichwa kimoja Mzee hilo ulielewe ndio maana watangazaji wao wakienda hata media zingine hawashine kama walivyokuwa Clouds; rejea Gadner alivyoenda Times, nenda kwa Ray Mshana na yule mwanamke walivyoenda wasafi njoo kwa Maestro alivyoenda e-fm na wengine wengi BTW chukua hii kila mtangazaji Tanzania hii ndoto yake ni kufanya kazi Clouds media kuanzia salary, fursa na bata la watangazaji pale asikuambie mtu, Kingine bdozen siyo wa kuajiriwa e-fm siyo level zake Elimu yetu imetuathiri sana kutegemea ajira ndio kila kitu jamaa angebase kwenye biashara zake za nguo na kuitangaza zaidi Born to shine, Mwisho kabisa HII NI SAFARI YA KUELEKEA Wasafi media.
AMEAMUA sio AMEHAMUAAiseee atakuwa amehamua kumaliza career yake! Binafsi namtakia kila la kheri lakini bado najiuliza atatangaza kipindi gani? EFM watabadili vipindi?
Huwa mnapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha yao wakati maisha yenu binafsi mnashindwa kuyapangilia
Ww umeenda?? hiyo shame inakugeukiaHakuna hata mmoja ameenda kwenye page ya Efm kuhakikisha kama mleta mada alichosema ni ukweli. Shame on you wanaJF!
Nasikiliza clouds kila nikipata muda..perfect hawezi kuongoza kipindiUmewai kumfatilia jamaa lakini..?
Kwani mzee Ruge alimuachia nani mikoba yake ?Alie achiwa viatu vya Ruge Naona vinampwaya Hakika Clouds imerudi hatua nyingi nyuma sanaa isije kuwa ndo tutaendelea kuwa sahau [emoji23][emoji23]
On point tu ilimshinda sembuse brand kubwa kama xxlNasikiliza clouds kila nikipata muda..perfect hawezi kuongoza kipindi
Sasa kama mmiliki wa show ni Dozen itakuwaje kama kaenda EfmIla XXL anayeinogesha ni Mchomvu yule jamaa amefit sana kwenye kile kipindi B dozen ni wakawaida sana sema kwa sababu yeye ndiye mwenye kipindi imembeba.
Nimeona hata Shilawadu yule jamaa Qwisa naye hayupo badala yake wamemuweka Mwijaku.
Tunamfuatilia hawezi,kipindi kizima atakuwa anasema tu " MNYAMA MKALI PERFECT " mpaka kipindi kinaishaUmewai kumfatilia jamaa lakini..?
Huyu jamaa hajui qualities za mtangazaji proper inabidi awaje..On point tu ilimshinda sembuse brand kubwa kama xxl
Sam Misago yupo wapi siku hizi ?Perfect hawezi hata kidogo..hapo wamchukue Sam misago akae na Kenedy wasukume kipindi
Ndio maana Jakaya huwa anawapuuzaWabongo utawaweza.
Hayupo Eatv,anapiga mishe zake tu binafsi inavyoonekanaSam Misago yupo wapi siku hizi ?