Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

Pazia zinarangi tofauti kama ndala za gest, madirisha nayo yanaomba dua ya mungu nisaidie
 
Namuombea Mungu ampe ujasiri nabuvumilivu kwa kuondokewa na mke mama wa watoto wake ila Manager wa msanii mkubwa Africa ameshinda kuwa hata na kanyumba cha kizushi big up dogo janja kwa kukumbuka kujenga, nimeona hadi salam anaanza shoe off za Diwani tengenezeni barabara tukija tena tunawalipa.
 
Wajenge vijijini kwao watutolee manenomaneno ooohh mimi tajiri huku makwao pakichovu
 
Acha kutufokea
 
Aibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri, hata kuweka curtains tu kumemshinda? Kashindwa kuendeleza kwao ndio huyu anataka ubunge? Au anataka ubunge ili anufaike ? Aibu hii. Maisha ya social media bwana........
Akili za kuambiwa changanya na zako ... ndio maisha yetu haya.. unaweza kukuta nyumba ya mjukuu ile ndio maisha yetu haya
 
Huyu boss kubwa hata pazia kashindwa kununua akaamua kuweka bendera ya ccm ?
[emoji23][emoji23][emoji23] shangaa na wee mwenzangu, au ndio kujipigia chapuo ndani ya system, maan kampen za ubunge soon, lazima aoneshe yeye n kada mtiifu na mwanachama kindakindaki.
 
Watu wa pwani (Waswahili) wana utofauti mkubwa sana na Watu wa kaskazini.
 
Maisha ya mitandaoni na maisha halisi siku zote ni tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…