Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

Paragraph #2 umejijibu mwenyewe kwa ulichoandika pale juu,asili yetu hauruhusiwi kuzungumzia au kutegemea hela ya mtu.

#1 ni asili ya kwenu,wengine hatuko hivyo hiyo #3 hakuna aliyekataa mtu ku-fake ila ajue ni ujinga ku-fake huku umri ukisogea,ni ujinga upo above 40 unaendelea ku-fake maisha......Nasisitiza ni ujinga!!!


hunielewi, ..I hope umejifunza kutoangalia watu kwa standards zako… by the way kuna ma hoteli siku hizi.. bye.
 
Nimekuelewa, ila kwa mtu ambaye ana uwezo wake mzuri kwanini ushindwe kujenga mjini na kijijini?

Hii ndo sababu inasababisha maendeleo pia yasienee kijijini maana watu hawaoneshi kujali umuhimu wa walipozaliwa
Njo Rombo bwashe ujione kwamba vijijii kuna nyumba
 
Pia inategemea ulichopost ni kwa namna gani kinagusa hisia za watu. Kuwa celeb peke yao sio issue

Jaribu kupost picha ukiwa na kitop halafu chini empty set, uone kama wabongo hawajakupa umaarufu kama walivyompa amber ruti
Mimi hata ku post Sana huwa sipendi wabongo wengi wachawi ukipendeza tu habari zinaenea hatari Kama Moto, sembuse kuji post hivo Mimi siwezi kudhubutu kabisa
 
Kumbuka tunatoka kwenye jamii tofauti tofauti, kuna jamii ambazo miaka na miaka zina utamaduni wa kujenga maeneo yao ya asili. Hawa ndio wakifa lazima wakazikwe huko vijijini kwao.

Halafu kuna wale ambao popote kambi, sasa mtu ambaye alizoea kuona wakubwa zake ndugu jamaa na marafiki wanajenga kwao unamfananisha vipi na yule ambaye kwenye jamii atokayo hawana utaratibu huo ?
I agree with you [emoji817]
 
Mimi hata ku post Sana huwa sipendi wabongo wengi wachawi ukipendeza tu habari zinaenea hatari Kama Moto, sembuse kuji post hivo Mimi siwezi kudhubutu kabisa
Uchawi unaanzia pale unapowaza kuna mtu atakufanyia issue za kichawi, nakuomba uachane na hayo mawazo.

Kama wachawi wapo waache wapambane na uchawi wao, furahia maisha yako kwa uhuru. Sawa bibie ?
 
Aibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri,hata kuweka curtains tu kumemshinda ?Kashindwa kuendeleza kwao ndo huyu anataka ubunge ????Au anataka ubunge ili anufaike ?Aibu hii.Maisha ya social media bwana........
HUWEZI jua labda anahela za mizimu je??? Ila watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uchawi unaanzia pale unapowaza kuna mtu atakufanyia issue za kichawi, nakuomba uachane na hayo mawazo.

Kama wachawi wapo waache wapambane na uchawi wao, furahia maisha yako kwa uhuru. Sawa bibie ?
Mchawi sio lazima awe na tunguri hata kunena nena maneno mabaya yenye karaha hasa yakitamkwa na wengi Ina create gundu, ndio maana privacy ya vitu huepusha Mambo, hasa ukiwa una play Mambo yako kimya kimya
 
Mchawi sio lazima awe na tunguri hata kunena nena maneno mabaya yenye karaha hasa yakitamkwa na wengi Ina create gundu, ndio maana privacy ya vitu huepusha Mambo, hasa ukiwa una play Mambo yako kimya kimya
I feel you
 
Unanikumbusha zamani wakati niko kijijini. Nilipokuwa naona watu wamevaa safi, nikuwa natamani sana. Siku hizi nina hela zangu, kuvaa naona ni kujisitiri tu. Siku ukipata $ zako wala hautakimbilia kujenga. Amini usiamini. $ is king. House is never king!
Mkuu kibongo bongo heshima nyumba hafu watu wasipojenga huko kijijini miji itakua lini?
Hafu kujilinganisha na nje sio sawa na huku kwetu Tziii
 
Mentality yako ni mtu fulani mshamba mshamba, mwenye kuhis utajiri wa ndugu ni wake pia, wenye nacho, huwa hawana janja janja ya kufanya show off aimlessly.
[emoji23][emoji23] kwamba watu wanaonyesha nyumba zao ,majengo nk wote washamba?


Basi Millard Ayo ni mshamba mkuu maana yeye huonyesha vitu vya wengine siku zote.

Bila kusahau BBC, Al-Jazeera, nk wote washamba pia.

Kwamba trump ni mshamba mwenye ghorofa lake na kuandika jina lake?

Upumbavu ,ujinga,umaskini ,wivu walivyonavyo watanzania wengi ndo maana karibu nchi nzima kutoa mikoa michache Tu imejaa tembe nyasi na umaskini uliotukuka Kwa sababu ya akili za kiwivu kama zako
 
Kila mtu na afanye limpendezalo siyo liwapendezalo wenzie. Babu Tale naye kafanya limpendezalo. Msilazimishe Babu Tale afanye kama mnavyotaka. Mimi niko kama Babu Tale. Maisha yangu kwa nje ni kawaida sana kama TV ya Mo.
 
Inaeza kuwa Diamond pekee ndio anamafanikio pale WCB
Kilichomkimbiza Chinga pale kwani unafikiri ni nini? Kusota asote yeye, pesa ya kuhonga ´´mlokole´´ apate Domo. Chinga akaona isiwe taabu, ngoja akahangaike mwenyewe, liwalo na liwe. Wenzake wamebaki uoga sasa wakujaribu kujitegemea, wanamnunia.
 
Mimi na wewe uelewa wetu tofauti kabisa. Hatutakubaliana. Wewe jenga. Mimi pesa zangu naweka benki. Simple. Kwa nini nianze tena kujieleza? Nimesema watu wenye mawazo yako hayo wamejaa. Na wengi ni mbumbumbu.
Hebu naomba ufafanue vizuri kuwa ulikuwa nje Nchi gani na ulikuwa unasomea nini? kwa sababu huo mtazamo wako unaonekana kama ni story za kijiweni na sio fact kutoka kwa Msomi
Kwa taarifa yako; hakuna msomi yeyote Duniani anajivunia kuwa na fedha bank pekee; labda mbumbu .... usidanganye watu
Watu hujivunia kuwa na Fixed Assets kama nyumba pamoja na uekezaji mkubwa kama wa mashamba, viwanda, biashara kubwa kubwa nk...... nafikiri umeona hapo sijataja magari.....
Mtu mwenye hela Bank kiuchumi huyo ni masikini mtarajiwa kwani muda wowote zinaweza kuisha akabia hana kitu....
 
inakuaje mke akazikiwe kwao na mwanaume au ndio utaratibu
Mwanamke akishaolewa anabadilishwa kila kitu mpaka majina mpaka kwao kuna change na ata akifa muamuzi wa mwisho kuamua azikwe wapi ni mumewe kwa Sisi wa tanga mke wangu atazikwa kwetu pakitokea msigano busara inaweza kutumika narudia ni busara tu ndio inaweza tumika akazikwe kwao ila kitaratibu za Kiimani lazima azikwe kwetu
 
Wachache sana wanaingiza hela nying hyo tasnia.wachache sana.weng wanapata chenjii..had kina v mane watoboe siri ndo muamini
Vmoney nasikia alikuwa anafake. Anashowoff instagram mambo bien kumbe kiuhalisia hali ni mbaya.
 
Back
Top Bottom