Moshi wa Kumbi
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 165
- 100
Ukute huna ata mia mfukoni.Mimi na wewe uelewa wetu tofauti kabisa. Hatutakubaliana. Wewe jenga. Mimi pesa zangu naweka benki. Simple. Kwa nini nianze tena kujieleza? Nimesema watu wenye mawazo yako hayo wamejaa. Na wengi ni mbumbumbu.
Wabongo kwa ku fake life!!!!!!!