benjamin kayombo
Member
- May 29, 2020
- 31
- 23
Aibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri,hata kuweka curtains tu kumemshinda ?Kashindwa kuendeleza kwao ndo huyu anataka ubunge ????Au anataka ubunge ili anufaike ?Aibu hii.Maisha ya social media bwana........
Mtandaoni Kila mtu Tajiri Njoo kwenye maisha halisi Ndo utaona Mengi.