Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

Hamisi Shaban Taletale aka Babu Tale, fanya hima ujenge kwenu hii nyumba ni aibu kuu

...hio hewa safi unayoitaka sasa hivi,haikuwepo kabla???..nenda kapumzike unakotaka..ila kujenga inabaki choice ya mtu na uwezo wake,sio kanuni/formular kila mtu aifate….ningewaelewa kama mko concerned na familia zenu mlizoziacha kule….ila mko concerned na 'hewa' safi as if waliojenga wana hewa nyingine special???!!!
Ujue issue sio priorities

issue ni maisha ya mfiwa mitandaoni...yuko perceived ana 'hadhi' flani...hivyo wadau hawakutarajia kwa maisha yale kwao pako hivi

Mtu wa kawaida anaejulikana hana uwezo hio ni nyumba ambayo hatokua 'judged' kuhusu viwango vyake

tunampa Poleh sana
Ila tuchukue somo la kuboresha maisha yetu ktk uhalisia tusiishie mitandaoni tu
 
Aibu sana unasema unanyumba 5 ila nyumba ya kwenu haieleweki ni aibu kubwa sana mimi nilijua ulivokuwa unatunishiana misuli na ruge basi umejiwekeza kumbe hamna kitu??
Maana dar kwenye unahisi nyumba ya kupanga mikocheniView attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364

That is standard african house

Unataka ajenge nyumba ya kama ya bakhresa kijijini?
 
Sio kweli
Baadhi ya nyumba hazina uimara kukulia miaka ya 50 na leo tuwapeleke wajukuu wakaishi humo na ziwe imara

pia size..familia ishakua kubwa hapatoshi..walikaa say watoto 12...sasa wote wamekuwa wakubwa wameoa na wana watoto kuanzia wawili kila mtu
Mtatosha?
main house inabaki ila ili kukidhi mahitaji ya wakwe na wajukuu ndo inalazimika kuongeza nyumba zingine...purely basic need ya 'shelter'


At least una hoja...

ila inabaki kuwa sio sheria kwamba lazima kila mtu aifate...

watanzania tuwe na culture ya kutofuatilia maisha ya mtu na kipato chake....

wewe unajenga kwenu sababu umeona kuna ulazima mkitembelea kijijini muwe na nafasi na watoto wako, mwingine akitoka kijijini hana mpango wa kurudi tena, (Wapo kibao Dar).....kila mtu aheshimiwe choices alizozifanya maishani....

Sababu mkitoka kuweka basic need ya wajukuu mtataka muweke kila nyumba iwe na ghorofa as standard measure..ukielewa kuwa tunatofautiana kipato na maamuzi/choices..mambo ya wengine hayatakusumbua...
 
Ujue issue sio priorities

issue ni maisha ya mfiwa mitandaoni...yuko perceived ana 'hadhi' flani...hivyo wadau hawakutarajia kwa maisha yale kwao pako hivi

Mtu wa kawaida anaejulikana hana uwezo hio ni nyumba ambayo hatokua 'judged' kuhusu viwango vyake

tunampa Poleh sana
Ila tuchukue somo la kuboresha maisha yetu ktk uhalisia tusiishie mitandaoni tu


Mnhhhh sasa imekua sio tena nyumba bali Maisha ya Instagram??, huko wangapi wana fake maisha..?? wachache sana wanaishi real life kule insta..ni wazi mtu unakua tempted kuweka posts fake kama majority na wao wanaweka fake.....again ni Maisha ya mtu aliyochagua,,,, hukupenda fake life huko insta ukaweka real life,mwenzako akachagua kuweka fake...why are you bothered na fake life ya mtu...
 
Mnhhhh sasa imekua sio tena nyumba bali Maisha ya Instagram??, huko wangapi wana fake maisha..?? wachache sana wanaishi real life kule insta..ni wazi mtu unakua tempted kuweka posts fake kama majority na wao wanaweka fake.....again ni Maisha ya mtu aliyochagua,,,, hukupenda fake life huko insta ukaweka real life,mwenzako akachagua kuweka fake...why are you bothered na fake life ya mtu...
We are not bothered...rather mhusika anakua kaumbuka kiasi fulani.,

mi nimepata tu fundisho kuwa misiba ndo mwisho wa reli...ni tuendelee kuweka majumbani kwetu vizuri...kwa faida yetu ya miisho tutakayofikia

mana tusimseme tu mfiwa hapa wkt kila mtu anajua kwao kuko vipi
 
...hio hewa safi unayoitaka sasa hivi,haikuwepo kabla???..nenda kapumzike unakotaka..ila kujenga inabaki choice ya mtu na uwezo wake,sio kanuni/formular kila mtu aifate….ningewaelewa kama mko concerned na familia zenu mlizoziacha kule….ila mko concerned na 'hewa' safi as if waliojenga wana hewa nyingine special???!!!

Kanuni ya binadamu yeyote anayejitambua na aliye na akili hai kichwani lazima awe na sehemu nzuri ya kulala,take it from me,awe maskini asiwe maskini atatamani kupata mazingira mazuri ya kupumzika.

Nakotokea vijana bodaboda wanamiliki nyumba za maana PhD holders wa mijini hawazimiliki kutokana na kuwa na mentalities kama zako,hewa safi ilikuwepo that's why nai-miss naifuata sasa kama kwenu kuna vumbi sana ni wewe.tuwe concerned na familia zetu kivipi?uzae watoto uwe mvivu kufanya kazi au ulewe hovyo utegemee ndugu kukutunzia familia yako how?

Kwetu hakuna hizo favor,kanuni ni “ISHI KWA AKILI ULIYOPEWA KUKABILIANA NA MAZINGIRA YAKO”,utasaidiwa kwa sababu maalumu siyo kwa kujilegeza,unadhani tungekuwa tumedekezwa kama unavyotaka wewe kizazi hiki kingekuwa na mwamko kiliokuwa nao?nikuache hakuna mwanamke mwenye uchungu wa kuendeleza kwao navyobishana na wewe hapa wewe siyo mtu sahihi alitakiwa awe kaka yako au mdogo wako.
 
Sisi tusio na nyumba Bongo tuna tabu sana. Wengine hawana nyumba lakini wana pesa benki. Wana gari nzuri na nyumba nzuri ya kupanga maeneo mazuri ya mji. Kwani kuna tatizo gani? Mbona watu ambao hajasoma huwa wanashabikia nyumba hivi? Tangu niko mdogo kijijini, wasomi walipokuwa wanatangulia mbele ya haki na kuja kuzikwa kijijini, mbumbumbu wa kijijini walikuwa wanawaongea vibaya sana eti kwa sababu hawakujenga nyumba kwao! Nimeishi nje kwenye nchi zilizoendelea, ambako watu wana pesa za kutupa, wala watu hawashobokei nyumba kiasi hiki. Watu wanaweka mapesa benki. Wakitangulia, wanaacha pesa kwa familia.
Mkuu kibongo bongo heshima nyumba hafu watu wasipojenga huko kijijini miji itakua lini?
Hafu kujilinganisha na nje sio sawa na huku kwetu Tziii
 
Ndo maana nikakuuliza nikitaka kupumzika nikapumzike wapi?

Mf;mimi naishi Dar,kwetu Kilimanjaro unataka nikitaka kupumzika niende lodge Masaki au Hotel Zanzibar/Dubai nikapumzike huko?ni wakati gani nitakutana na niliopotezana nao,nitajuaje mapungufu ya nilikotoka kama sikwenda kupaona?utulivu,hewa safi ni wapi nitakula vitu vizuri vya asili kama sijarudi kijijini?

Jiulize sikujenga kule hayo yote nitayafanya kwa style gani?kumbuka ni aibu mtu unajulikana unatafuta pesa kisha uende kwenu ukamgongee ndugu yako akukaribishe pa kulala wakati wewe sehemu ya kujenga hukunyimwa unayo!wewe unaona sawa kutokana na may be umetokana na jamii isiyojali kwao na umeolewa na jamii isiyojali kwao vile vile so unaona maisha yenu ni ya mjini tu ndo maana sijakulaumu kwa hilo.
Hawa watu wanaopinga kujenga vijijini kwetu sijui wanatumia akili gani??..
 
Kanuni ya binadamu yeyote anayejitambua na aliye na akili hai kichwani lazima awe na sehemu nzuri ya kulala,take it from me,awe maskini asiwe maskini atatamani kupata mazingira mazuri ya kupumzika.

Nakotokea vijana bodaboda wanamiliki nyumba za maana PhD holder wa mijini hawazimiliki kutokana na kuwa na mentalities kama zako,hewa safi ilikuwepo that's why nai-miss naifuata sasa kama kwenu kuna vumbi sana ni wewe.tuwe concerned na familia zetu kivipi?uzae watoto uwe mvivu kufanya kazi au ulewe hovyo utegemee ndugu kukutunzia familia yako how?

Kwetu hakuna hizo favor,kanuni ni “ISHI KWA AKILI ULIYOPEWA KUKABILIANA NA MAZINGIRA YAKO”,utasaidiwa kwa sababu maalumu siyo kwa kujilegeza,unadhani tungekuwa tumedekezwa kama unavyotaka wewe kizazi hiki kingekuwa na mwamko kiliokuwa nao?nikuache hakuna mwanamke mwenye uchungu wa kuendeleza kwao navyobishana na wewe hapa wewe siyo mtu sahihi alitakiwa awe kaka yako au mdogo wako.

Kanuni number moja; kujenga kijijini sio kanuni/standard formular kila mtu aifate.

Kanuni number mbili; una hati miliki na chako,cha mwenzio sio chako...namaanisha kinachoingia kwenye mfuko wa mwenzio usishoboke nacho....

Kanuni number tatu; Maisha ya Insta ku fake sio kitu cha ajabu...mwacheni kaka wa watu amalize msiba wake kwa Amani...
 
Nani kakwambia Mimi sina nyumba kijijin kwetu? [emoji23][emoji23]



Hapa jf hatufahamiani kiuhalisia.




Nitafe inbox nikuonyeshe
Mentality yako ni mtu fulani mshamba mshamba, mwenye kuhis utajiri wa ndugu ni wake pia, wenye nacho, huwa hawana janja janja ya kufanya show off aimlessly.
 
Ndo maana nikakuuliza nikitaka kupumzika nikapumzike wapi?

Mf;mimi naishi Dar,kwetu Kilimanjaro unataka nikitaka kupumzika niende lodge Masaki au Hotel Zanzibar/Dubai nikapumzike huko?ni wakati gani nitakutana na niliopotezana nao,nitajuaje mapungufu ya nilikotoka kama sikwenda kupaona?utulivu,hewa safi ni wapi nitakula vitu vizuri vya asili kama sijarudi kijijini?

Jiulize sikujenga kule hayo yote nitayafanya kwa style gani?kumbuka ni aibu mtu unajulikana unatafuta pesa kisha uende kwenu ukamgongee ndugu yako akukaribishe pa kulala wakati wewe sehemu ya kujenga hukunyimwa unayo!wewe unaona sawa kutokana na may be umetokana na jamii isiyojali kwao na umeolewa na jamii isiyojali kwao vile vile so unaona maisha yenu ni ya mjini tu ndo maana sijakulaumu kwa hilo.
Halafu watu hujenga nyumba nyumbani kusisahaulike na siku ukifariki lazima uingizwe kwanza ndani, kimila kwetu lazima mtu ajenge nyumba ili siku ya mwisho usizalilike
 
Back
Top Bottom