Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa, ila kwa mtu ambaye ana uwezo wake mzuri kwanini ushindwe kujenga mjini na kijijini?
Hii ndo sababu inasababisha maendeleo pia yasienee kijijini maana watu hawaoneshi kujali umuhimu wa walipozaliwa
Sasa una hela alafu unaishi kwenye nyumba isiyoendana na hela uliyonayo hiyo ni akili ujenge au upangishe inatakiwa ukae kwenye nyumba nzuri
Miaka yote humu jf huwa naona picha hizo hizo, siku hizi watu hawajengi tena nyumba mpya au viwanja vya kujenga vimeisha ?Sio moshi Tu hata wahaya wa bukoba wanajenga Sana vijijin kwao.
View attachment 1492492View attachment 1492493View attachment 1492494View attachment 1492495View attachment 1492496View attachment 1492497
inakuaje mke akazikiwe kwao na mwanaume au ndio utaratibu
Misiba ya kiislamu haina mbwembwe.Subirini msiba uishe..
Lakini hapo wameshindwa hata kununua pazia za 15k kweli?
Wachache sana wanaingiza hela nying hyo tasnia. wachache sana. weng wanapata chenjii.. had kina v mane watoboe siri ndo muaminiTatizo yale maisha ya picha za instagram ndo tunajua ni maisha halisi.
Ili tumfurahishe nani man?Na nyinyi tuonesheni picha za Mijumba mlojenga kwenu hapa.
Waja huko mnafika mbaliHalafu nainusa harufu ya kafara kwenye mauti
Siyo sahihi,hatujengi kulinda au kujitafutia hadhi ila pale ni nyumbani nimezaliwa nimekulia pale lazima nitatakiwa kupatembelea mara kwa mara sasa nitalala wapi nikiwa pale?au nikitaka kupumzika nikapumzike wapi?...hotel?wengi mnaojenga kijijini,mnajenga ku maintain status ni kama pride Fulani,wala hakuna linguine linalowasukuma kufanya hivyo..which is sad...pride wengine sio tu pride hawana bali pia sio priority....
Maendeleo kijijini tafuta kwa nini hamna.
Ukweli unaumaAibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri,hata kuweka curtains tu kumemshinda ?Kashindwa kuendeleza kwao ndo huyu anataka ubunge ????Au anataka ubunge ili anufaike ?Aibu hii.Maisha ya social media bwana........
Preach it....Sisi tusio na nyumba Bongo tuna tabu sana. Wengine hawana nyumba lakini wana pesa benki. Wana gari nzuri na nyumba nzuri ya kupanga maeneo mazuri ya mji. Kwani kuna tatizo gani? Mbona watu ambao hajasoma huwa wanashabikia nyumba hivi? Tangu niko mdogo kijijini, wasomi walipokuwa wanatangulia mbele ya haki na kuja kuzikwa kijijini, mbumbumbu wa kijijini walikuwa wanawaongea vibaya sana eti kwa sababu hawakujenga nyumba kwao! Nimeishi nje kwenye nchi zilizoendelea, ambako watu wana pesa za kutupa, wala watu hawashobokei nyumba kiasi hiki. Watu wanaweka mapesa benki. Wakitangulia, wanaacha pesa kwa familia.
Kwa kweli walau avunje tangaMsubiri msiba uishe ee
Siyo sahihi,hatujengi kulinda au kujitafutia hadhi ila pale ni nyumbani nimezaliwa nimekulia pale lazima nitatakiwa kupatembelea mara kwa mara sasa nitalala wapi nikiwa pale?au nikitaka kupumzika nikapumzike wapi?...hotel?
Afadhali post imetumwa na mwanamke angekuwa mwanaume ningemtukana.