Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana lol, wewe mkali wa fikra za vijiji vyetuPengine kijijini kwao ukijenga nyumba nzuri unalogwa. Hamjui vipo vijiji vya namna hiyo?
Je? Na wewe umejenga kwenu?Aibu sana unasema unanyumba 5 ila nyumba ya kwenu haieleweki ni aibu kubwa sana mimi nilijua ulivokuwa unatunishiana misuli na ruge basi umejiwekeza kumbe hamna kitu??
Maana dar kwenye unahisi nyumba ya kupanga mikocheniView attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364
Kwanza Nassibu kajenga kwai? Pale ni kwa wazazi wake. Watoto watajenga mjiniInaeza kuwa Diamond pekee ndio anamafanikio pale WCB
Hapo kwao au ukweni kwake? Nina hakika msiba ulikuwa ukweni kwake.
Ndio tutegemee Tz kuendelea kwa hali hii!Mwenzenu amefiwa..aibu yenu kwa kuongea mbofu mbofu hata msiba haujaisha
Babu Tale kwao Morogoro ?Aibu sana unasema unanyumba 5 ila nyumba ya kwenu haieleweki ni aibu kubwa sana mimi nilijua ulivokuwa unatunishiana misuli na ruge basi umejiwekeza kumbe hamna kitu??
Maana dar kwenye unahisi nyumba ya kupanga mikocheniView attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364
Mmmmh.. ni wapi hapo nje ya nchi watu hawathamini kumiliki nyumba?Sisi tusio na nyumba Bongo tuna tabu sana. Wengine hawana nyumba lakini wana pesa benki. Wana gari nzuri na nyumba nzuri ya kupanga maeneo mazuri ya mji. Kwani kuna tatizo gani? Mbona watu ambao hajasoma huwa wanashabikia nyumba hivi? Tangu niko mdogo kijijini, wasomi walipokuwa wanatangulia mbele ya haki na kuja kuzikwa kijijini, mbumbumbu wa kijijini walikuwa wanawaongea vibaya sana eti kwa sababu hawakujenga nyumba kwao! Nimeishi nje kwenye nchi zilizoendelea, ambako watu wana pesa za kutupa, wala watu hawashobokei nyumba kiasi hiki. Watu wanaweka mapesa benki. Wakitangulia, wanaacha pesa kwa familia.
Kama ndio hivyo apaboreshe hata Kama yeye haishiUkweni ni kibaha. Hapo ni kwao morogoro
Mmmmh.. ni wapi hapo nje ya nchi watu hawathamini kumiliki nyumba?
Tena nje ya nchi, watu ndo wanakuwaga na dream za ku own nyumba (real estate), sema shida ni kwamba kumiliki nyumba ni gharama sana ndo mana wengi wanaishia kupanga mpaka wanakufa.
Sioni kama ni akili kuwa na mihela mingi kwenye account halafu usiwe na nyumba, ni kukosa akili.. pesa hii hii ambayo ikitokea inflation inakuwa haina tofauti na makaratasi?
Mtu yoyote mwenye akili popote pale lazima uwaze kumiliki nyumba, at some point in your life... Hakuna ufahari wa kutokuwa na nyumba nzuri.
Refere basic needs
- Food
- Shelter (Housing)
- Cloth
Hivi ndo vitu vitakupa heshima duniani.. How you eat (become healthy), Where you live (Good House), what you wear (Good Clothes).. sijui kama umenisoma mkuu
Sio moshi Tu hata wahaya wa bukoba wanajenga Sana vijijin kwao.Duuuh.... kweli nimeamini ni wachaga pekee ndo tunapenda nyumbani. Hii ni aibu aisee.
Hivi mtu kama Tale amekosa milioni 50 kuwa na nyumba ya heshima kijijini?
Sasa una hela halafu unaishi kwenye nyumba isiyoendana na hela uliyonayo hiyo ni akili ujenge au upangishe inatakiwa ukae kwenye nyumba nzuriSisi tusio na nyumba Bongo tuna tabu sana. Wengine hawana nyumba lakini wana pesa benki. Wana gari nzuri na nyumba nzuri ya kupanga maeneo mazuri ya mji. Kwani kuna tatizo gani? Mbona watu ambao hajasoma huwa wanashabikia nyumba hivi? Tangu niko mdogo kijijini, wasomi walipokuwa wanatangulia mbele ya haki na kuja kuzikwa kijijini, mbumbumbu wa kijijini walikuwa wanawaongea vibaya sana eti kwa sababu hawakujenga nyumba kwao! Nimeishi nje kwenye nchi zilizoendelea, ambako watu wana pesa za kutupa, wala watu hawashobokei nyumba kiasi hiki. Watu wanaweka mapesa benki. Wakitangulia, wanaacha pesa kwa familia.
Safi sana... watu waige mifano mizuri ya kujenga kwao.. kuna ufahari fulaniSio moshi Tu hata wahaya wa bukoba wanajenga Sana vijijin kwao.
View attachment 1492492View attachment 1492493View attachment 1492494View attachment 1492495View attachment 1492496View attachment 1492497
Nimekuelewa, ila kwa mtu ambaye ana uwezo wake mzuri kwanini ushindwe kujenga mjini na kijijini?housing ni kwa ajili ya watoto wako/familia yako..sio kujenga 'kijijini'...wakati una familia inakutegemea mjini...
Tangu lini fundi baiskeli akawa na hela ?Aibu kwa kweli halafu huwa wanajiita matajiri,hata kuweka curtains tu kumemshinda ?Kashindwa kuendeleza kwao ndo huyu anataka ubunge ????Au anataka ubunge ili anufaike ?Aibu hii.Maisha ya social media bwana........
Huyu boss kubwa hata pazia kashindwa kununua akaamua kuweka bendera ya ccm ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanichekesha sana hapo madirishan yaan had kipande cha bendera ya CCM, afanyee akakarabati kwao,