Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Ni ushauri mzuri lakini hebu nasi tujiangalie.. Je yale tunayowashauri wengine sisi tukoje nayo?Aibu sana unasema unanyumba 5 ila nyumba ya kwenu haieleweki ni aibu kubwa sana mimi nilijua ulivokuwa unatunishiana misuli na ruge basi umejiwekeza kumbe hamna kitu??
Maana dar kwenye unahisi nyumba ya kupanga mikocheniView attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364View attachment 1492363View attachment 1492364
Pamoja na hivo, lakini kweli kwa Tale ameshindwa kabisa kuwa na hata milioni 50 kweli kweli... hata si tu milioni 50 hiyo nyumba hata milioni 20 ingetosha kabisa kuifanya iangalike hataTatizo yale maisha ya picha za instagram ndo tunajua ni maisha halisi.
Hiyo ni kweli. Ndio sababu Vanessa Mdee kaweka ukweli wazi kwamba alikuwa anapata shida ya stress kwa sababu anaishi maisha ya plastiki (fake life) ya ku please watuMoja ya industry ambayo ni Njaa sana basi entertainment inashika namba moja hao watu ni fake kwa kila kitu Umauti na Magonjwa ndo mwarobaini wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakaona bora waweke bendera ya chama,Subirini msiba uishe..
Lakini hapo wameshindwa hata kununua pazia za 15k kweli?