MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
😀 😀😀 Full certificates za Phd na pete yake ya 'Kinga' mkononi, ana Phd ya kuzui mvua isinyeshe kwenye matukio ya hadhara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yule mwovu alinunua ile PhD yake ya maganda ya koroshoDr. Honorable Hamis Shaban Taletale [emoji23]
Noma sana pesa inanunua kila kitu sio PhD tu hata Degree wananunua na wanaajiri wahitimu FAKE (wa mchongo) kila angle
Marekani wanaitambuaKwahiyo haitambuliki???
wamemkataa😂😂😂😂
🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣 Dollar 2500/=Dr. Hamisi taletale
Roho hizo ni kawaida huko kwenu chama cha mambuzi.***** hata ubunge wa tale nasikia ni damu ya mkewe huyu jamaa ana roho za kigaidi sana
USSR
Kishimba akili kubwa Ana akili za kuzaliwa nazo...Hongereni Dr Kasheku Msukuma ,Dr Hamisi Taletale bado tunasubiri Phd ya Lusinde Kibajaji na Jumanne Kishimba.
Supika ana wivu [emoji23]View attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Kishimba akili kubwa Ana akili za kuzaliwa nazo...
Darasa la 7 lakini amesimamia biashara kubwa na hakutetereka
Akiongea anaongea kwa hoja
Ila hao wengine wapiga kelele tu
Ova
Dah mpaka unakera wewe shetani!!Hata yule mwovu alinunua ile PhD yake ya maganda ya korosho
Kenge mamako aliyekuzalia kule uwanja wa fisiDah mpaka unakera wewe shetani!!
Kuukosa ubunge basi ni wewe na marehemu wakati wote!!
KENGE WA KIKE
Ila kajitahidi sana kutetea ya Dr Samia😂😂