Ifike wakati huu udaktari na uprofesa wa kujibandika ubaki kwa waganga wa kienyeji na wasanii, vinginevyo tutazidi kuchanganya mambo.....
Unashika simu huku upo na chombo Cha Moto mkuu. Huoni kuwa Ni hasara kwa Taifa letu ukiwa huyathamini maisha yako lakini. Lazima upewe adhabu😂😂😂 Hii nmecheka mpanda kidogo nipindue gari, mngepata breaking news kuna gari imegonga Fuso uso kwa uso,
Acheni kujificha kwenye mafanikio ya diamond kuhalalisha hiyo ph.D yenu uchwara ya TaleTale yaani seriously unatoa mfano wa Newton na Babu tale!!..Ujinga wako tu. Newton alipewa uprofesa na kufundisha chuo kikuu akiwa hana hata shahada ya kwanza; kilichozingatiwa ni uvumbuzi wake wa nguvu ya uvutano (gravitational force) na mengine yakiyofuata.
Diamond alianza muziki kwa wimbo wake maarufu wa Mbagala, mbele ya nyumba jalala. Huyu babu Tale aliyemuibua Diamond toka jalalani mbagala kumfikisha hapa alipo kuna ubaya gani kutunikiwa udaktari wa heshima?
Mbona hawa wanaoliangamiza taifa wakipewa hizo heshima hamsemi?
Have we lost our civility to this extent?
Acheni wivu. Babu Tale more than deserves that honor.
Ndio shida inapoanzia kumwabudu mtuIla kajitahidi sana kutetea ya Dr Samia[emoji23][emoji23]
Aibu kubwaView attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Usingenitukana coz siyo mimi nimesema ni babu tale mwenyewe kasema.Yamesaidia nini kwenye maendeleo ya nchi kwa ujumla na raia mmoja mmoja?! HUNA AKILI KABISA WEWE!
huyo diamond anakusaidia nini wewe?! Au alijenga shule watoto wa masikini wakasoma bure?!
Kuchaguliwa kwake bila kupingwa kumewahi kukunufaisha nini wewe au taifa kwa ujumla?! We ni raia wa jimboni kwake?! Fikiri na uongee kama umepevuka kiakili. Ndo alijisemeaga MIRAJI KIKWETE..., "wabongo wengi waliokataa kujitambua na kujielewa hutumia matako kufikiri"
Haaah...! Una gari kumbe mkuu?.Unasoma huku unaendesha gari? Ni gari gani unalo?[emoji23][emoji23][emoji23] Hii nmecheka mpanda kidogo nipindue gari, mngepata breaking news kuna gari imegonga Fuso uso kwa uso,
Miguru kafanya lipi la maana? Wasipewe tu,wakasome. Ahaaa...! Sawa Kabuni TOZOBabuuu , hii ya Kupewaz binafsi nilitaman apewe mtu ambaye kafanya makubwa sana, kaja na solution ya maana kwenye tatizo fulan
Ndio maana wasomi wa kibongo wanadharauliwa. Hawana uwezo wa kuajiriwa nje ya Tz. Wataendelea kuajiriana humu humu kimchongoDr. Honorable Hamis Shaban Taletale [emoji23]
Noma sana pesa inanunua kila kitu sio PhD tu hata Degree wananunua na wanaajiri wahitimu FAKE (wa mchongo) kila angle
Mambo ya humu ukiyafuata utajisumbuwa tu, kuna watu wanatembea Kwa kichwa humu badala ya miguu.Haaah...! Una gari kumbe mkuu?.Unasoma huku unaendesha gari? Ni gari gani unalo?
Wanamuonea Wivu Dr Tale...View attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Unataka ukamteke??Haaah...! Una gari kumbe mkuu?.Unasoma huku unaendesha gari? Ni gari gani unalo?
Sababu??Huyu alipaswa kupewa kihalali kabisa!
Inaonekanaje?Ya Samia inaonekana kabisa ila ya hawa jamaa, kina Jafo hapana
Najua mkuu. Maana yake kajieleza kwa namna watu wajue.Mambo ya humu ukiyafuata utajisumbuwa tu, kuna watu wanatembea Kwa kichwa humu badala ya miguu.
Sasa usishangae mtu yupo speed 120 huku anaperuzi JF.
huyu mpuuzi anatakiwa kushtakiwa kabisa huyu. yaani anataka aseme ati kwakuwa amewatoa kina domo ati naye ana mchango kwa taifa pumbavuView attachment 2511319
Mh spika bila kumtaja moja kwa moja amesema jamaa amenunua phd hiyo kwa usd 2500
Pia amehoji kwanini wote wanapewa na vyuo vya nje sio vya ndani
Sawa yeye ndo kasema... wewe kwanini utuletee hapa kauli hiyo ya kipuuzi?! Bilioni moja "1" anayolipa huyo bwana inakunufaisha wewe au walalahoi wa taifa hili unafkiri?!Usingenitukana coz siyo mimi nimesema ni babu tale mwenyewe kasema.
Diamond analipa kodi ya zaidi ya billion 1 kwa mwaka.