Sawa izo like zinasaidia nn nisaidie na apo
Poa na mimi nimelike vip kama nisipo like nakuipotezeaHazina msaada ni kionjesho tu cha kukuongezea hali ya kuendelea kuchat na kufurahia kubadilishana mawazo na wanachama wenzio humi.
Poa na mimi nimelike vip kama nisipo like nakuipotezea
Poa mkuu vip unakuta wengine wame quote maandishi yanaonekana ya blue au mekundu wanafanya mautundu gani na wanamaana ipiUsipo like hakuna tatizo. Ni kawaida tu haikupunguzii chochote
Poa mkuu vip unakuta wengine wame quote maandishi yanaonekana ya blue au mekundu wanafanya mautundu gani na wanamaana ipi
Poa nitag mkuuKuna maujanja yapo jukwaa moja hivi ngoja nikutag huko ukajifunze ukiweza niambie. Unaweza jifunzia hapa au huko huko
Kumbe kuna tweter pia....!?facebook situmii niko tweter ila ntazoea tu
Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno "FEATURES" na "FUTURE"Hii platform iko tofauti kidogo na zingine kwanza naona futures baadhi nazipata leo tangia ni signup jana so ni vingi bado hum sijavipata
Wana jukwaa hamjambo ?
Jaman mimi mgen hum ndani natumaini mtanipa taratibu za hum jukwaani
nini napaswa kukisema na nini sipaswi kukisema
Asanteni wote natumai niko kwenye mikono salama
Mkuu yaani hadi salam inamakosa ? nlikuwa sijui huku watu ni wakuu ila nishapatiwa somo na Numbisa
Poa, ila usirudie kutusalimu tena....utakamatwa kwa kujipendekeza.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya neno "FEATURES" na "FUTURE"
Hii lugha ya malkia ilikuja na meli ndugu yangu badala ya kututesa ni bora kutumia kiswahili chetu ambacho siku hizi kina ladha nzuri sana mdomoni na ukitaka kujua uzuri wa kiswahili au maswaibu ya lugha ya malkia muulize Baba Janet
Wewe ni me au me[emoji15] wanaharaka zaidi ya radikwanza kabla ya yote njo ujibu hizi swali hapa
ww ni ccm au cdm
ww ni simba au yanga
ww ni me au me
ww niwa diamond au alikiba
Poa, ila usirudie kutusalimu tena....utakamatwa kwa kujipendekeza.
naruhusiwa kulike mara ngapi kwa siku mkuu