Hamna kitu kibaya Kama harufu ya bahari, mzazi shtuka

Hamna kitu kibaya Kama harufu ya bahari, mzazi shtuka

View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Watoto hawana content kichwani. Ova
 
Sisi tutaendelea kuvuta upepo wa bahari na kufaidi kodi zenu nyie wa bara, alisikika mngazija mmoja wa huko wete [emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna uhalisia na kilichoandikwa namshauri mtoa mada afanye research zaidi
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Kwa hiyo Japan na Korea na Singapore Australia UK ni mazombi maana wamezungukwa na bahari sehemu zote
Au kichwa yako imeibiwa masega
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Huko Kusini Pemba bahari yake ndio chafu kabisa!
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Bukoba, Njombe na mji kasoro bahari, huwapeleka watoto wao kubarizi upepo?
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Shule inaitwa Buguruni moto hapo unatarajia nini sasa zaidi ya watu kupelekeana moto.
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Huu utafiti mmh
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Huu utafiti mmh
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Wale FEZA wsmewelewa air filter?
 
sasa kama vitoto vinaanza kufumuliwa mtaro tangu vikiwa nasare unategemea nini? yaani aliwe tigo mika yoote tangu utotoni then aje afanye maajabu fom foo. hizo ni ndoto za alinacha.Elimu ni uwekezaji siumeona aibu iliyowakuta kwa matokeo ya mwaka huu hadi wamesanda kutangaza shule bora, hii yote ilisababishwa na jiweology misifaisim.
 
Tuliopatia elimu Moshi woyeee
Baridi swafiii
Asanteni ndugu zangu
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Wazanzibar Bora wawe na Baraza lao la mitihani maana wanateseka sana [emoji23][emoji23]
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Na mikoa yote hii ni ile iliyojawa na ma Mwinyi ila umesahau Tabora na Kigoma. Mtu anaona mwanae asiende shule eti atalishwa nguruwe bora aende tu madrasat kukariri vitu visivyo na tija maishani mwake, matokeo yake ndiyo haya na mwisho wa siku anabaki kufuga majini tu kama wazazi wake huku wenzake waliomuacha wanaongoza nchi.
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
na hao wa Kagera walinusa upepo wa wapi?
 
View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.
Eleza kwa kina tuelewe.
 
Shule ziko moshi bwana... kitabu kinapigwa sana na waalimu wako committed.
Sema tu ndo shetani ameamua kuelekeza mashambulizi yake ya ushoger Ukanda huo...
upo sawa kabisa, shule za moshi zinafanya vizuri sana
 
Back
Top Bottom