Hamna kitu kibaya Kama harufu ya bahari, mzazi shtuka

Hamna kitu kibaya Kama harufu ya bahari, mzazi shtuka

View attachment 2502630
Upepo unaotoka baharini pamoja na harufu yake ni kitu kibaya kuliko vyote kwa watoto wadogo hasa wanafunzi. Mzazi unashauriwa kumsogeza Mtoto wako mbali kidogo na bahari ili kuuwezesha ubongo wake kudevelop.
Ogopa mikoa ifuatayo
Dar
Pwani
Lindi
Mtwara
Tanga
Zanzibar
Na mikoa ya jirani na hiyo.i
Inaweza kuwa sababu la ongezeko la maprofesa uchwara pia, maana Udsm pale juu ni kama inapunga upepo wote wa pwani
 
Back
Top Bottom