Hamna kitu kibaya Kama harufu ya bahari, mzazi shtuka

Watoto hawana content kichwani. Ova
 
Sisi tutaendelea kuvuta upepo wa bahari na kufaidi kodi zenu nyie wa bara, alisikika mngazija mmoja wa huko wete [emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna uhalisia na kilichoandikwa namshauri mtoa mada afanye research zaidi
 
Kwa hiyo Japan na Korea na Singapore Australia UK ni mazombi maana wamezungukwa na bahari sehemu zote
Au kichwa yako imeibiwa masega
 
Huko Kusini Pemba bahari yake ndio chafu kabisa!
 
Bukoba, Njombe na mji kasoro bahari, huwapeleka watoto wao kubarizi upepo?
 
Shule inaitwa Buguruni moto hapo unatarajia nini sasa zaidi ya watu kupelekeana moto.
 
Huu utafiti mmh
 
Huu utafiti mmh
 
Wale FEZA wsmewelewa air filter?
 
sasa kama vitoto vinaanza kufumuliwa mtaro tangu vikiwa nasare unategemea nini? yaani aliwe tigo mika yoote tangu utotoni then aje afanye maajabu fom foo. hizo ni ndoto za alinacha.Elimu ni uwekezaji siumeona aibu iliyowakuta kwa matokeo ya mwaka huu hadi wamesanda kutangaza shule bora, hii yote ilisababishwa na jiweology misifaisim.
 
Tuliopatia elimu Moshi woyeee
Baridi swafiii
Asanteni ndugu zangu
 
Wazanzibar Bora wawe na Baraza lao la mitihani maana wanateseka sana [emoji23][emoji23]
 
Na mikoa yote hii ni ile iliyojawa na ma Mwinyi ila umesahau Tabora na Kigoma. Mtu anaona mwanae asiende shule eti atalishwa nguruwe bora aende tu madrasat kukariri vitu visivyo na tija maishani mwake, matokeo yake ndiyo haya na mwisho wa siku anabaki kufuga majini tu kama wazazi wake huku wenzake waliomuacha wanaongoza nchi.
 
na hao wa Kagera walinusa upepo wa wapi?
 
Eleza kwa kina tuelewe.
 
Shule ziko moshi bwana... kitabu kinapigwa sana na waalimu wako committed.
Sema tu ndo shetani ameamua kuelekeza mashambulizi yake ya ushoger Ukanda huo...
upo sawa kabisa, shule za moshi zinafanya vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…